Mbunge Nicodemas Maganga: Mama anacheza peke yake, tunaenda kupigwa

sijakuelewa mkuu...uchumi si mlisema umepanda ? aliufunga nani na nani anaufungua ? ndege alinunua nani ? aliyenunua ndege alikosea ? wakati ananunua mama alikuwa wapi ?

Endelea kutokuelewa UCHUMI ni mpana sana utakuchanganya mkuu transition ya kutoka katika Austerity measures na kuincourage recurrent expenditures, pia si mlisema vyuma vimekaza ndio grease inawekwa sasa Mkuu.
 
Sasa ndege Mama ndo aliamua kuzinunua? Mama sasa hivi ana kazi kubwa ya kuondoa kwanza ukungu ulio kwenye vichwa huku anaufungua uchumi wetu.

Pili Mh. anaonekana ana jambo anataka kuongea ila mpangilio wake haujanyooka vizuri huenda ni kwasababu ya ugeni.
sijakuelewa mkuu...uchumi si mlisema umepanda ? aliufunga nani na nani anaufungua ? ndege alinunua nani ? aliyenunua ndege alikosea ? wakati ananunua mama alikuwa wapi ?
Endelea kutokuelewa UCHUMI ni mpana sana utakuchanganya mkuu transition ya kutoka katika Austerity measures na kuincourage recurrent expenditures, pia si mlisema vyuma vimekaza ndio grease inawekwa sasa Mkuu.
mkuu usiongelee transition za maneno ya wanasiasa...Uchumi naujua ila sioni transition yeyote zaid ya maneno tu...mama ni sehemu ileile unayosema walikuwa wanaimplement Austerity measures , haya labda tuseme walifanya hizo policies za ubahili mbona Deni limekuwa kubwa sana, what the heck happened ? You guys blubbering as if mama was not part of the team, to add insult to injury she was the VP, the seconnd most powerful person kwenye hiyo regime. Wakati magu yupo mlisema he was doing the right thing, kasepa mnasema mama anarekebisha the bad doings za magu, ivi kweli mnataka mtu mwenye akili timamu awe anawasikiliza na kuwaelewa ? Think about it man...
 
sijakuelewa mkuu...uchumi si mlisema umepanda ? aliufunga nani na nani anaufungua ? ndege alinunua nani ? aliyenunua ndege alikosea ? wakati ananunua mama alikuwa wapi ?

mkuu usiongelee transition za maneno ya wanasiasa...Uchumi naujua ila sioni transition yeyote zaid ya maneno tu...mama ni sehemu ileile unayosema walikuwa wanaimplement Austerity measures , haya labda tuseme walifanya hizo policies za ubahili mbona Deni limekuwa kubwa sana, what the heck happened ? You guys blubbering as if mama was not part of the team, to add insult to injury she was the VP, the seconnd most powerful person kwenye hiyo regime. Wakati magu yupo mlisema he was doing the right thing, kasepa mnasema mama anarekebisha the bad doings za magu, ivi kweli mnataka mtu mwenye akili timamu awe anawasikiliza na kuwaelewa ? Think about it man...
Mkuu kuna namna jambo linavyotakiwa liwe na kuna namna jambo linavyofanywa, na pia kuna muda unatakiwa ukubaliane na hali ilivyo ila unapopata nafasi ya kufanya inavyotakikana unafanya Mkuu.
 
Mkuu kuna namna jambo linavyotakiwa liwe na kuna namna jambo linavyofanywa, na pia kuna muda unatakiwa ukubaliane na hali ilivyo ila unapopata nafasi ya kufanya inavyotakikana unafanya Mkuu.
nakubaliana na wewe Mia kwa mia, sababu mimi ni muumini wa jambo kufanyika linavyotakiwa kufanyika...Madam President anaweza akawa na nia nzuri kabisa ila sasa yupo surrounded na crooked mf's...mfano ulivyosema issue ya recurrent expenditure(mashule, mahospitali and all that), haya mambo yapo in-place ila sasa implementation machinery, followup and feedback mechanism na vitu kama hivyo ni tatizo, leo leo kuna mbunge anasema hizo hela huko halmashauri zinagombewa na hamna kitu kinaendelea na anasema budget ni ndogo kuliko price ya vitu vya ujenzi, sina uhakika na hili ila kama ndio ivyo tumekwisha mkuu...
 
nakubaliana na wewe Mia kwa mia, sababu mimi ni muumini wa jambo kufanyika linavyotakiwa kufanyika...Madam President anaweza akawa na nia nzuri kabisa ila sasa yupo surrounded na crooked mf's...mfano ulivyosema issue ya recurrent expenditure(mashule, mahospitali and all that), haya mambo yapo in-place ila sasa implementation machinery, followup and feedback mechanism na vitu kama hivyo ni tatizo, leo leo kuna mbunge anasema hizo hela huko halmashauri zinagombewa na hamna kitu kinaendelea na anasema budget ni ndogo kuliko price ya vitu vya ujenzi, sina uhakika na hili ila kama ndio ivyo tumekwisha mkuu...
Hii pia inaashiria failure ya familia na mambo ya imani Mkuu kwasababu hawa watu walipaswa waelewe hizi pesa ni kwaajili ya ku improve social and economic welfare za public in general lakini sababu ya malezi kiimani na kifamilia walifundishwa wizi. Kwa upande mwingine hii inaonesha umuhimu wa kuwa na taasisi imara mathalani PCCB wangepatikana watu wa kutolewa mfano wakarudishwa ground zero sababu ya dhuluma zao watu wangeheshimu mali za UMMA ila ndio hivyo tena Mkuu taratibu tutafika.
 
Hii pia inaashiria failure ya familia na mambo ya imani Mkuu kwasababu hawa watu walipaswa waelewe hizi pesa ni kwaajili ya ku improve social and economic welfare za public in general lakini sababu ya malezi kiimani na kifamilia walifundishwa wizi. Kwa upande mwingine hii inaonesha umuhimu wa kuwa na taasisi imara mathalani PCCB wangepatikana watu wa kutolewa mfano wakarudishwa ground zero sababu ya dhuluma zao watu wangeheshimu mali za UMMA ila ndio hivyo tena Mkuu taratibu tutafika.
Thats bold mkuu Taasisi imara ndio kila kitu.... Hawa jamaa wakila hizi pesa wawajibishwe.. Alafu me nadhani the whistle blowers wa hii nchi hawafanyi kazi ipasavyo au wanapewa milungula watulie, Again usiache kukuza watoto katika imani na elimu, kuja ujinga mwingi mtaani and that should not be part of your family
 
2025 asilimia 95 ya wabunge wa Magufuli awatorudi bungeni hata kingai akiwa IGP plus ccm kumsajili kigogo aongoze nguvu.
Watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni.Hata ndugai kamisi fukuza fukuza ya wapinzani bungeni.
 
Hawezi kukabidhiwa na kuendelea tuu bila kutafakari methodology ya mtangulizi wake maana tusisifie tuu kasi ya usambazaji, tujiulize je ilikuwa na value for money? (Lengo langu sio kuwa too much skeptical bali inabidi kujiridhisha namna bora ya moving forward).
Hayo maneno "tuko kwenye mchakato"ndo hatutaki kuyasikia Kwa sababu yanatuchelewesha sana.
 
Sehemu zingine wakandarasi wa umeme walifika mwezi julai wakaweka vipimo sehemu za kuchimna nguzo, hadi leo hawajarud tena

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom