Mbunge Mtarajiwa wa ACT. Morogoro mjini !

Mbunge Mtarajiwa wa ACT. Morogoro mjini !

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751

11168097_10152988495009051_1893945716822168986_n.jpg
 
Acha ujinga wewe, hiyo ni picha siku ya msiba wa marehemu mke wake, sasa unaweka hapa ili iweje?
MODS Naomba mfute huu upuzi, BAVICHA mnamatatizo sana.
 
Acha ujinga wewe, hiyo ni picha siku ya msiba wa marehemu mke wake, sasa unaweka hapa ili iweje?
MODS Naomba mfute huu upuzi, BAVICHA mnamatatizo sana.

unaushahidi kama walipost hiyo picha ni BAVICHA?
 
anadhani atapata zari kama Yesu alivyopaa?

Kwa kweli kabisa hii picha imechukuliwa akiwa ndani na anaonekana kuchoka sana. Yawezekana kabisa ni kweli ilikuwa siku ya msiba wa mkewe. Kama ndivyo yeyote alieitumia picha hiyo kama nia ya kumdhalilisha kwa wapiga kura Morogoro na alaaniwe.
 
Kwa kweli kabisa hii picha imechukuliwa akiwa ndani na anaonekana kuchoka sana. Yawezekana kabisa ni kweli ilikuwa siku ya msiba wa mkewe. Kama ndivyo yeyote alieitumia picha hiyo kama nia ya kumdhalilisha kwa wapiga kura Morogoro na alaaniwe.

picha inamuonyesha nani? Jibu ni Afande Sele
Mtarajiwa mbunge wa Morogoro mjini ni nani? Jibu ni Afande sele
Aliyepost picha kaandika nini? Mbunge mtarajiwa wa ACT Mororgoro Mjini

labda uelewa wangu hautoshelezi..naomba uniambie hapo Mheshimiwa wetu mtarajiwa kadhalilishwa kivipi?
mimi nimeishia kuona sura ya afande...wewe umeenda mbali mpaka ku-note kuwa anaonekana amechoka..sasa hapo watu wahukumu nani anamdhalilisha Afande

kutaja zari ni mojawapo ya kuonyesha watu wanamjua maana katika wimbo wake mmoja yeye ndo aliimba maneno hayo
then neno hilo "zari" linaweza kuwa limetumika kwa kuwa atapambana na stiff competition toka kwa watu ambao wameshajikita mizizi muda mrefu hapo wakiwamo mafisadi wa CCM hivyo kupita kwake itakuwa ni zari

Mpaka unataja laana, sielewi!!! au kuna kitu sijakiona nyuma ya pazia???
 
Huyu na yule wa Mbeya mjini, wote ni dugu moja kabisaaaa. Watoto wa mjomba na shangazi.
 
mnamshangaa huyo kulala hapo? wengine mbona tunawaona wakilala bungeni?
 
Roho mbaya tuu,wanao lala bungeni na wanaongea pumba hamuwaoni mmeona lahuyu kulala, waminsharii Hasidin ...
 
yaan nyie UVCCM na ka-mke kenu hako ACT mna shida kweli....
kila kitu defence yenu BAVICHA anyway kadri ukisemavyo ndivyo hukiongezea umaarufu....viva BAVICHA,viva CHADEMA=UKAWA....
 
Acha ujinga wewe, hiyo ni picha siku ya msiba wa marehemu mke wake, sasa unaweka hapa ili iweje?
MODS Naomba mfute huu upuzi, BAVICHA mnamatatizo sana.
Sasa ikiwa picha ya kwenye msiba inakuwa siyake
 
Sasa ikiwa picha ya kwenye msiba inakuwa siyake

Wewe huoni kama inakumbusha machungu kwa wafiwa, AU tuweke ile picha yako uliyokuwa unalia wakati umefiwa,
BAVICHA mmekuwa mkimuandama sana Sele kwasababu amehama CDM, Hii haikubaliki tuache huu upuuzi.
 
unaushahidi kama walipost hiyo picha ni BAVICHA?

Ndio, yaani nyie mtu akihama chama mnaanza kumponda na kumchafua, kulikuwa na haja gani ya kuweka picha kama hiyo hapa jukwaani. Acheni Huu ujinga nyie BAVICHA.
 
Hiyo ni historia yake na sio future yake. Tunachoangalia ni future ya mtu.
Na ndio maana hata Mafundisho ya dini yanakuambia kuwa mtu anaweza ishi ktk maisha ya kumuasi Mungu lakini dakika za majeruhi akamuelekea Mungu na hatimae akaingia Peponi.

Kwa sasa Afande kaamua kuwa Mzalendo na jimbo atabeba.

Mbana Kuna wabunge zenu wamekuwa majambazi hamuwasemi
 
Tuwekeeni na ile picha nyingine aliyovua suruali jukwaani tuione
 
Back
Top Bottom