Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Huyu jamaa aache blah blah atuletee company yenye bei nafuuMbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Aseme wapi mbolea Bei rahisi tuifuate...hoja ni mbolea ghaliJibu hoja zake kwanza
Wewe si useme wapi mbolea Bei rahisi tuifuate!..simpleNdiyo hizi sababu nyepesi huwa mnaleta nyie mafisadi
Tanzania iliiga Belarus...tatizo hamfuatilii mamboHata corona ilikuwepo kila mahali lakini Tanzania tulifanya kivyetu
Unaweza kuta jamaa alimtaarifu kabisa kwamba atamchana
Wanasiasa syo wa kuwekewa dhamana...
Unaweza kuta jamaa alimtaarifu kabisa kwamba atamchana
Ficha upumbavu wako.Hata corona ilikuwepo kila mahali lakini Tanzania tulifanya kivyetu
Wanasiasa syo wa kuwekewa dhamana...
Wakati wowote wanabadili gia
Huku wakiwachia watu wana tifuana
Ova