Ndio huyo, kamuelewa vibaya
Hatuna Bunge....wao wapo tayari kuongelea mipasho kama hiyo. Zero Kabisa!Sikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Amesema kweli Ndugai alipanga Bunge hovyo kabisa, hivi leo Mbunge kama huyu Sanga anakaa kiti cha Mbele wakati kuna wakongwe wamewekwa bench kabisaSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Hakuna bunge hapo ni kusanyiko la wahuni tupuSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Badala ya kujadili mambo makubwa wanajadili vitu vya kipumbafu kabisaHatuna Bunge....wao wapo tayari kuongelea mipasho kama hiyo. Zero Kabisa!
Hii ni laana ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.Sikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Wajinga wanaanzia huko huko Bungeni, huku mtaani watu wanaakili zao, Acha kufananisha watu wa kitaa wanaopambana kwaakili nyingi,ulster akili zakinandugai waongo waongo na wanaokula matapishi yao kila sikuGwajima Bishop ana mtaji wa wajinga wengi mtaani.Shida mfumo umemsitukia.
Kwani wanataka urafiki naeWabunge CCM ni wanafiki Sana, na bunge lao ni dhaifu Sana! Wanachuki binafsi baina yao!
Kwenye sakata hili, Gwajima kashajua yupi rafiki wa kweli!
Wenye CCM yao wapo,siyo wewe.Mh.Kirumbe Ng'enda ni mkomavu wa SIASA za CCM zaidi ya huyo Gwajima.....
Mh.Kirumbe Ng'enda amesimamia misingi ya CCM....
ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO
#CCMKablaYaYeyoteYule
Hivi johnthebaptist ww siyo mbunge?Hahahaaaa..... Nimemsikia mubashara kupitia TBC sema jina lake ndio nimelisahau!
Wanachelewa wenyewe tu kumfukuza alishasema hamuogopi yeyote na hataomba msamaha na yupo tayari kwa lolote isipokuwa kifo.Ndiyo maana hakupoteza muda kuwajibu zaidi ya kuwaambia Neno alilotoa akiwa madhabahuni haliwezi kujadiliwa na yeyote.Komredi Kinana alimshambulia wapi Rais wa nchi?
Aling'ang'ana wapi kumshambulia Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?!!!
Hayati Baba wa taifa hili....MENTOR....usimuweke kwenye BOTI NA WENGINE....ukosoaji wake haulinganishwi na GWAJIMA et al.
HASHTAG CCM IMFUKUZE GWAJIMA
#SiempreCCM
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochochote
Bwashee mimi ni mwananchi wa kawaida!Hivi johnthebaptist ww siyo mbunge?
Wewe ndiye mjinga sana. Gwajima is a hero and he will remain so!Gwajima Bishop ana mtaji wa wajinga wengi mtaani.Shida mfumo umemsitukia.
😂😂😂😂😂 bungeni kuna mamboSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Anakaa kiti alichokuwa anakalia Augustino Lyatonga Mrema!Kwa hiyo gwaji boy ni front bencher? atakuwa ni miongoni mwa mawaziri........shadow PM nadhani....
Na Vijambo!😂😂😂😂😂 bungeni kuna mambo
Ahaaa, Deputy Prime Minister.....Anakaa kiti alichokuwa anakalia Augustino Lyatonga Mrema!
Mbunge akili matopeSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.