Mbunge Godbless Lema awa mwana maombi ya ufufuo

Mambo ya imani ni ya imani na ya chama ni ya chama,.. mbona kuna viongozi wengine imani zao zinawafanya wanagonoka wanaposali,....tuseme ni wafuasi wa Cameron?
 
Mi nilikwenda jumapili moja katika kanisa la ufufuo ubungo. Wale watu wanaopelekwa mortuary wakiwa katika coma halafu wanazinduka,ndio wanaichochea dini ile. Wanakwenda kule wanasimulia jinsi wachawi walivyoleta taabu,lakini Bwana Yesu akawafufua.
 
Safari tutaona na kusikia mengi, hiyo nayo ni sera ya Chadema kufufua watu waliokufa..

Lema, ukimfufua Babu yangu anaamia Chadema
 
Aisee wana cdm kweli nimeamini nyinyi ni mapoyoyo! Hata upuuzi huu mnatetea na kuona sawa tu. Tangu lini maiti akafufuka kwa maombi? Nawaahidi Lema akifanikiwa kumfufua mfu. Najinyea hadharani......!!!
 
Hv hk ktendo cha m2 kufa then unanza kumuombea ili afufuke hl jambo lmewah kutokea ktk karne h?
Jaman kwa mwanaharakat kama lema ckutegemea kuona kama angeweza kupoteza muda wake kumuombea m2 alyekufa il afufuke,jaman namheshmu na nnamkubali sana mh godbeclema but kwa hl allolfanya eti kutaka kumfufua marehem(mke wa diwan arsha)n ujinga wa hal ya ju
MH LEMA KUNA UWEZEKANO KUNA WATU WANAKUPOTOSHA ILI UPOTEZE CFA YAKO TAKE CARE MY BROTHER
Source:WAPO RADIO

Kimsingi mmemtafri vibaya mh. Lema mi siona kosa lake, je ni kwenda kushirikiana na waliokua wanafanya maombi hayo au Lema alipoenda pale alitangaza kuwa CDM imemtuma kufanya maombi hayo, jaribu kutofautisha maisha binafsi nokifana cheo au kazi ya mtu pale Lema kaenda kibinafsi na kiimani yake na si kwamba anachoamini mh. Lema ni msimamo wa CDM, CDM kila mtu anaimani yake ambayo haihusiane na CDM.
 
Nilishasema sana na nitaendelea kusema bila kuchoka Lema ni mzigo kwa CDM ni suala la muda wanazi na mashabiki wake watakuja kiri wenyewe.Wapo watu wanajitahidi kutetea kitendo chake cha kuombea ufufuo wanakwepa ukweli kwamba mafundisho ya kikristo hayako hivyo wanajaribu kukwepesha ujinga wa kamanda wao mbele ya jamii kwamba ni suala la imani !.
 
Maombi yalianzia nyumbani kwa marehemu eneo la Njiro kwa masaa matatu bila mafanikio na baadaye wakahamia katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mount Meru ulipokuwa umehifadhiwa mwili wa marehemu ambapo waliomba wapewe mwili na kuendeleza maombi tena kwa zaidi ya masaa sita bila mafanikio.

No comment....
 
Mambo ya imani ni ya imani na ya chama ni ya chama,.. mbona kuna viongozi wengine imani zao zinawafanya wanagonoka wanaposali,....tuseme ni wafuasi wa Cameron?
Kuna wale wanaosali huku wamekaa kwenye mabenchi na viti, wakiburudishwa na mapambio ya warembo! Mrembo anaimba kwa sauti nyorooro eti ameonja utamu wa Yesu, yaani mtoto wa kike ameonja utamu wa mungu wao mwanaume. Sijui laaana !
 
Back
Top Bottom