Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 54
- 76
Uupo sahihi na waliopitisha kikokotooKama haki bin haki ikitendeka, wabunge wote waliopewa ulaji wa ubunge na Jiwe hawawezi rudi bungeni 🤔
Upo sahihi kabisa bila kusahau wote waliopitisha kikokotoo kipyaKama haki bin haki ikitendeka, wabunge wote waliopewa ulaji wa ubunge na Jiwe hawawezi rudi bungeni 🤔
Tulia AcsonUchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Huyu kwa kweli labda akarogeMbunge wa Mbeya Tulia Ackson., Sugu back Mjengoni😍✊️✌️
Waitara.Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?