Mbunge apinga TASAF kuziondoa kaya zenye vyoo vyenye masinki Zanzibar katika wanufaika wa mfuko Asema Umaskini wa Zanzibar sio sawa na wa kigoma

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,906
Dodoma. Mbunge wa Mtoni, Zanzibar (CCM), Abdulhafar Idrissa Juma ameshangazwa na kitendo cha Mfuko wa Maendeleo Nchini (Tasaf) kuziondoa kaya zinazomiliki vyoo vyenye masinki visiwani humo katika orodha ya wanufaika wa mfuko huo.

Juma amesema hayo jana Jumatano Aprili 7, 2022 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Amesema umasikini unatofautiana na mazingira hivyo ameeleza kuwa umasikini wa mtu wa Zanzibar hauwezi kufanana na masikini wa mtu wa Kigoma.

“Tasaf kama wanatafsiri kumiliki TV ya chogo Zanzibar ni kukosa sifa ya kuwa mnufaika, basi wanaweza kukuta wote hawafai kuwa katika Tasaf, lakini kumbe na wao ni watu masikini na wanastahili kusaidiwa na Tasaf” amesema.

Amesema kuwa katika jimbo lake kuna baadhi ya kaya zilizoondolewa katika orodha hiyo kwa sababu wanamiliki vyoo vyeme masinki, hivyo wamejipanga kukata rufaa.

Mbunge huyo ameitaka Tasaf katika kutekeleza majukumu yao kutofautisha vigezo vya umasikini kulingana na mazingira

Source: Gazeti la Mwananchi
 
Dodoma. Mbunge wa Mtoni, Zanzibar (CCM), Abdulhafar Idrissa Juma ameshangazwa na kitendo cha Mfuko wa Maendeleo Nchini (Tasaf) kuziondoa kaya zinazomiliki vyoo vyenye masinki visiwani humo katika orodha ya wanufaika wa mfuko huo.

Juma amesema hayo jana Jumatano Aprili 7, 2022 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Amesema umasikini unatofautiana na mazingira hivyo ameeleza kuwa umasikini wa mtu wa Zanzibar hauwezi kufanana na masikini wa mtu wa Kigoma.

“Tasaf kama wanatafsiri kumiliki TV ya chogo Zanzibar ni kukosa sifa ya kuwa mnufaika, basi wanaweza kukuta wote hawafai kuwa katika Tasaf, lakini kumbe na wao ni watu masikini na wanastahili kusaidiwa na Tasaf” amesema.

Amesema kuwa katika jimbo lake kuna baadhi ya kaya zilizoondolewa katika orodha hiyo kwa sababu wanamiliki vyoo vyeme masinki, hivyo wamejipanga kukata rufaa.

Mbunge huyo ameitaka Tasaf katika kutekeleza majukumu yao kutofautisha vigezo vya umasikini kulingana na mazingira

Source: Gazeti la Mwananchi
Kigoma ndio makao makuu ya ufukara?
 
Na huo ndio mtaji wake kiendelea kuaminisha wapigakura wake wao ni mafukara ila wana tofauti na ufukara wa kigoma🤣🤣
hata mwendazake aliamini anaongoza wanyonge na masikini
 
Dodoma. Mbunge wa Mtoni, Zanzibar (CCM), Abdulhafar Idrissa Juma ameshangazwa na kitendo cha Mfuko wa Maendeleo Nchini (Tasaf) kuziondoa kaya zinazomiliki vyoo vyenye masinki visiwani humo katika orodha ya wanufaika wa mfuko huo.

Juma amesema hayo jana Jumatano Aprili 7, 2022 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Amesema umasikini unatofautiana na mazingira hivyo ameeleza kuwa umasikini wa mtu wa Zanzibar hauwezi kufanana na masikini wa mtu wa Kigoma.

“Tasaf kama wanatafsiri kumiliki TV ya chogo Zanzibar ni kukosa sifa ya kuwa mnufaika, basi wanaweza kukuta wote hawafai kuwa katika Tasaf, lakini kumbe na wao ni watu masikini na wanastahili kusaidiwa na Tasaf” amesema.

Amesema kuwa katika jimbo lake kuna baadhi ya kaya zilizoondolewa katika orodha hiyo kwa sababu wanamiliki vyoo vyeme masinki, hivyo wamejipanga kukata rufaa.

Mbunge huyo ameitaka Tasaf katika kutekeleza majukumu yao kutofautisha vigezo vya umasikini kulingana na mazingira

Source: Gazeti la Mwananchi
Zanzibar inabebwa sn
 
Zanzibar vitu Kama TV , vifaa vya ujenzi na hata mafuta ni bei chini hivyo mtu ukiwa na elfu 50 unapata TV wakat masikin wa Kigoma ni masikin kweli kweli maana hata alipata elfu 3000 hawez pata Lita ya petrol
 
Back
Top Bottom