Mkuu, hata wakijibu hoja hizo hawatakuwa wamekosea provided kuwa wana facts na sio kudanganya. Anayosema huyo msomi ni kweli, tatizo ni kuwa hapa Tanzania sehemu kubwa ya population ni illiterate ndio maana tunayoyaona sasa au tutakayoyaona miaka 10 ijayo yamechelewa. Literacy ambayo tulijitapa nayo miaka ya 70 na mwanzoni mwa miaka ya 80, ilikuwa ya kufuta ujinga tu lakini haikuwapa watanzania uwezo wa critical thinking. Angalia sasa Kingenge ambaye zamani alikuwa na easy ride siku hizo hata watoto wa form six wanajua kuwa anaongopa, things have changed and they will keep on changing.
Itakuwa ni vizuri sana kama huyo jamaa akijibiwa, hoja zake tumezisikia na zinakubalika na zinaungwa mkono na hali halisi.
Watakaomjibu bila shaka watafanya hivyo.