IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,492
- 5,345
Katika kuorodheesha mbuga za wanyama Tanzania huwezi kuiacha mikumi. Lakini kitu kimoja huwa kinanishangaza katika mbuga hii, kila mwaka nikipita barabara ya Morogoro-Iringa hasa mwezi wa 10 huwa naona mbuga hii ikiwa imechomwa moto. Sasa naomba kuuliza nani huwa anachoma mbuga hii, na kwa nini, na Serikali huwa inakuwa wapi mpaka kitu muhimu kwa uchumi wa taifa kama mbuga inawaka moto???