MBU WA MUHIMBILI

mgonjwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
514
Reaction score
223
Jamani jamani muhimbili kwa kweli ili tatizo la mbu wengi na wakali sijui linatokea wapi , kuna mbu mpaka anafunua neti na kukung'ata ....dr magufuli please do something my president
 
Mbu wa plate number 'D' ndio hatAri zaidi wapo sana wodi za KAribu na mochwari
 
Mbu wapo kila siku Muhimbili na hakuna mkakati maalumu wakuwangamiza utawaonea huruma manesi night shift pamoja na wagonjwa wanavyoshambuliwa.chonde serikali ingalieni swala hili.
 
Nimewahi sikia hao mbu ni biological control ya anopheles,

Kama wale sisimizi wa Mazimbu wa kucontrol nyoka
 
halafu wababe hao hata kama ukiwapiga bado wamo mpaka wakung'ate na halafu wanakuja na blue band ya kupaka mwili wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…