Mbu anasaidia kueneza HIV

MFECANE

Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
49
Reaction score
12
utafiti nilioufanya na kushauriana na halmashauri ya kichwa changu nimegundua kwamba mbu anasaidia kueneza HIV. mbu akimng'ata mwenye HIV halafu akaenda kumng'ata na kumtapikia mtu ambae hana HIV naye atakuwa ameambukizwa. EBO KAMA UNAWAZO TOFAUTI NA MM NIJUZE.
 
-Ni aina gani ya Mbu huyo?
-Anapatikana katika sayari ipi?
Labda tuanzie hapo.
 
mbu huyuhuyu anayeeneza malaria (anofeles) na yuko sayar ya dunia.
 
[h=3]Je, ninaweza kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI [/h]
 
kama hivyo wote tungekua waathirika
 
Sisi tuvaao makaptula na kukaa baa za wazi hadi usiku wa manane tungekuwa tumeathirika siku nyingi.
 
nenda kapime ujue afya yako. maana ukikoswa kuambukiza na madem bas utakutana na mbu.
 
kuhusu mashine za kunyolea ziko salama kwa sababu kabla ya kuanza kunyoa huwa wanaweka dawa(sprit) then aftershave
 
vp kuhusu mashine za kunyolea ktk saluni zetu hz za wanaume?

Virusi vya ukimwi haviwezi kukakaa kwenye kiwango cha joto kinachotumika kwenye mashine za kunyolea wala sio eti spirit inaua.
 
Kawaida mbu hana damu!
Anatumia damu yenye anavyonza kuishi kwa hivyo huwezi kutarajia aitapike eti ndio akuambukize.

Wakati unaposikia kuwashwa baada ya kuumwa na mbu, huwa ni kemikali anayokupaka ili kulainisha sehemu ya kufyonzea damu.
 
Niliwahi Kuuliza Swali Kama Hilo Majibu Niliyopewa Ni:- " Virus Vya Ukimwi/UKIMWI Huweza Kuishi Kwenye Damu tu! Mbu anafyonza damu lakini hana uwezo wa kuitema ila anauwezo Wa Kutema/kutoa mate! kwa kuwa virusi/UKIMWI haviishi kwenye majimaji /mate hivyo mbu hawezi kusambaza UKIMWI" Kama Utaridhika Na majibu haya waliyo yaita ya kisayansi Twende Kazi.
 
Virusi vya ukimwi haviwezi kukakaa kwenye kiwango cha joto kinachotumika kwenye mashine za kunyolea wala sio eti spirit inaua.

hivi mashine ya kunyolea na ukeni wapi kuna joto zaidi?
 
hivi mashine ya kunyolea na ukeni wapi kuna joto zaidi?

Weweh mie ni mtu mzima!
Hivi wewe, ushawahi kupigwa shot ukiwa ndani ya papuchi?
Ooh! Samahani nlikuwa namaanisha voltage ya shaving machine!
 

Ni moja kati ya tafiti zilizofanywa kipuuzi sana na majibu yake ya kipuuzi sana afadhali hata utafiti wa twaweza huu wako ni utafiti UCHWARA
 
huo sio utafit uchwara kama wa TWAWEZA. kama mbu anaweza kufyoza damu yenye walaria na kwenda kumuambukiza mtu ambae hakuwa na malaria na akawa na vijidudu vya malaria. je itashindikanaje kwa HIV?
 
Sio kila utafiti una majibu ya kweli...
 
Je ukitafuna bigijiii/bublishi ya mtu ambaye anatumia dozi ya ARV je anaeza pata maambukizi...?! Nijulisheni wadau
 
Je ukitafuna bigijiii/bublishi ya mtu ambaye anatumia dozi ya ARV je anaeza pata maambukizi...?! Nijulisheni wadau

Kwa nini unatafuna big g ilokwisha tafunwa tena mtu mwenye maambukizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…