Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
ulituambia kipindi kile ilibidi kubadilishia gia hewani. nimeelewa sasa kwa nini mlifanya hivyo.Ni kwa kuwa Dk. Slaa alikuwa kikwazo ikabidi mtumie gia ya rivas angani ili kumpoteza mtu kwanza.Mlifanikiwa ila na yeye keshawaona na anawalaani sasa na mwangwi umepaa sana. sasa mpango wa pili ni upi kiongozi? maana zile jeb zilituingia kiasi kwenye chembe.
Sasa wametugeuzia kibao eti sie ndio mafisadi. kweli? we ni kamanda. kwa ule mchezo wa mwanzo tulikuaminia. sasa uje na mkakati mwingine kamanda.Pamoja na ukweli kuwa kura zetu hazijatetereka sana tunataka tena kukusikia maana upande wa pili ni kama wamepata nguvu ghafla. unatuachaje?
Sasa wametugeuzia kibao eti sie ndio mafisadi. kweli? we ni kamanda. kwa ule mchezo wa mwanzo tulikuaminia. sasa uje na mkakati mwingine kamanda.Pamoja na ukweli kuwa kura zetu hazijatetereka sana tunataka tena kukusikia maana upande wa pili ni kama wamepata nguvu ghafla. unatuachaje?