Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Hivi kule wanapanua barabara ya nini maana yamebaki makazi ya watu na nikama barabara za mtaani.Daah acha tu mkuu... Lile eneo la Machame lilivyojaa alafu uje kubomolea watu makazi unataka wakaishi wapi?