Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mboe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama. ... Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandama ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo. .... Ni mtazamo wangu.
Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mboe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama. ... Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandama ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo. .... Ni mtazamo wangu.
Wakati KINANA anapigana vita ya UGANDA,MBOE alikuwa anatoroka SHULE anaenda DISCO.
Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mbowe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.
Kichwa cha habari umekiona. Pinga hoja. Ndio maana CCM inawashinda. Kama hamuamini kwa mwendo huu mtasikia kishindo 15.
Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mbowe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.
Jibu hoja
Wakati KINANA anapigana vita ya UGANDA,MBOE alikuwa anatoroka SHULE anaenda DISCO.