swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Naomba kuwakumbusha na hili lifanyuke kila mwisho wa mkutano wa Ukawa popote Tanzania.
Je upigaji kura fomu zitakuwaje ?
Je kutakuwa na majina ya vyama vyote au Ukawa.Hasa upande wa Urais .
Watu wa vijijini wanadanganywa na ccm kuwa ktk kupiga kura watiki kwenye vyama vyote vinavyounda ukawa.wanawachanganya hima hima fafanueni itakavyokuwa.
Nasema kwa sababu si kila mtanzania anaweza kuelewa kwa muda mfupi.Tumieni Redio,Tv na mitandao ya kijamii na sample za fomu zitawanywe ili kuwafanya watu wote wawe makini na namna ya upigaji kura.
Naomba walio karibu na kiongozi yeyote wa Ukawa amkumbushe hili.
Huku mtaani wanatembea kwenye nyumba za wanaUkawa na kuwadanganya.Tunaomba Team Infantry 4U movement mtaa kwa mtaa elimisheni watu wazee kwa vijana hasa vijijini.
Asanteni.
Je upigaji kura fomu zitakuwaje ?
Je kutakuwa na majina ya vyama vyote au Ukawa.Hasa upande wa Urais .
Watu wa vijijini wanadanganywa na ccm kuwa ktk kupiga kura watiki kwenye vyama vyote vinavyounda ukawa.wanawachanganya hima hima fafanueni itakavyokuwa.
Nasema kwa sababu si kila mtanzania anaweza kuelewa kwa muda mfupi.Tumieni Redio,Tv na mitandao ya kijamii na sample za fomu zitawanywe ili kuwafanya watu wote wawe makini na namna ya upigaji kura.
Naomba walio karibu na kiongozi yeyote wa Ukawa amkumbushe hili.
Huku mtaani wanatembea kwenye nyumba za wanaUkawa na kuwadanganya.Tunaomba Team Infantry 4U movement mtaa kwa mtaa elimisheni watu wazee kwa vijana hasa vijijini.
Asanteni.