Mbowe, kwanini usifanye maamuzi kama ya David Cameron, wananchi hawakuelewi

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,964
32,365
Wanaukumbi habari.
CHADEMA, waanze kwanza kupigania Demokrasia ndani ya Chama chao ndiyo waje kwenye Taifa.

Mbowe kaanza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wakati huo Jakaya Kikwete, akiwa Waziri wa Mambo ya nje wakati wa Utawala wa Benjamin Mkapa, mpaka leo Jakaya ni Rais Mstaafu, lakini Mbowe, bado Mwenyekiti wao anawalazimisha wabunge kuvaa Makaratasi midomoni wakiwa bungeni yeye akiwa Dar es Salaam kwenye biashara zake.

Mbowe nakushari fanya kama alichofanya Waziri Mkuu wa Uingereza, baada ya kuona wananchi hawamuelewi.
Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.

Mbowe muda sasa upo kwenye uongozi wa CHADEMA kama Mwenyekiti, lakini CHADEMA wameshindwa kuchukua dola jaribu kuwaachia wengine waongoze upinzani au umekuwa Mwenyekiti wa maisha.
 
Naomba niwaulize wana Lumumba wote hivi CCM watamchagua mwenyekiti wao lini maana wao hawanaga uchaguzi nikukabidhiana vijiti tokea mwaka wa 1980 wao neno uchaguzi wa mwenyekiti ni msamiati mgumu sana kwao wao wanachojua ni vijiti tu
 
Wanaukumbi.

Chadema, waanze kwanza kupigania Demokrasia ndani ya Chama chao ndiyo waje kwenye Taifa.

Mbowe kaanza kuwa Mwenyekiti wa Chadema wakati huo Jakaya Kikwete, akiwa Waziri wa Mambo ya nje wakati wa Utawala wa Benjamin Mkapa, mpaka leo Jakaya ni Rais Mstaafu, lakini Mbowe, bado Mwenyekiti wao anawalazimisha Wabunge kuvaa Makaratasi midomoni wakiwa bungeni yeye akiwa Dar es Salaam kwenye biashara zake.

Mbowe nakushari fanya kama alichofanya Waziri Mkuu wa Uingereza, baada ya kuona wananchi hawamuelewi.

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.

Mbowe muda sasa upo kwenye uongozi wa Chadema kama Mwenyekiti, lakini Chadema wameshindwa kuchukua dola jaribu kuwaachia wengine waongoze upinzani au umekuwa Mwenyekiti wa maisha.
Lumumba ni lini mtafanya uchaguzi Wa kidemokrasia Wa kumpata m/kiti Wa chama chenu? Au ndo nyani haoni kundule ...mbowe inaonekana ni kikwazo kwenu sana vijana Wa Lumumba ..hamuishi kumsema sema
 
Lumumba ni lini mtafanya uchaguzi Wa kidemokrasia Wa kumpata m/kiti Wa chama chenu? Au ndo nyani haoni kundule ...mbowe inaonekana ni kikwazo kwenu sana vijana Wa Lumumba ..hamuishi kumsema sema
Mbowe ni kikwazo kipi mkuu wangu toka enzi za Mkapa mpaka leo ni Mwenyekiti kipi cha maana kakifanya?
 
Wanaukumbi.

Chadema, waanze kwanza kupigania Demokrasia ndani ya Chama chao ndiyo waje kwenye Taifa.

Mbowe kaanza kuwa Mwenyekiti wa Chadema wakati huo Jakaya Kikwete, akiwa Waziri wa Mambo ya nje wakati wa Utawala wa Benjamin Mkapa, mpaka leo Jakaya ni Rais Mstaafu, lakini Mbowe, bado Mwenyekiti wao anawalazimisha Wabunge kuvaa Makaratasi midomoni wakiwa bungeni yeye akiwa Dar es Salaam kwenye biashara zake.

Mbowe nakushari fanya kama alichofanya Waziri Mkuu wa Uingereza, baada ya kuona wananchi hawamuelewi.

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.

Mbowe muda sasa upo kwenye uongozi wa Chadema kama Mwenyekiti, lakini Chadema wameshindwa kuchukua dola jaribu kuwaachia wengine waongoze upinzani au umekuwa Mwenyekiti wa maisha.

Mbowe kwa CCM ni kama saratani kwao
 
Kwa hili nakubaliana nawe. Aonyeahe mfano ndani ya chama , aonyeshe democracy ya ukweli, awe mfano wa kuingwa kwa kifupi aachie kiti kwa mwingine.
Ndiyo demokrasia ukishindwa kuwashawishi wananchi waachie wengine.
 
Back
Top Bottom