Mbowe kutikisa Mbeya kesho Jumapili

Mbowe kutikisa Mbeya kesho Jumapili

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kesho tarehe 9/6/2013 anatarajiwa kuunguruma jijini Mbeya.

Kiongozi huyo wa upinzani bungeni anatarajiwa kutumia nafasi hiyo kumnadi mgombea udiwani wa CHADEMA kata ya Iyela Charles Nkelwa.

Mwenyekiti Mbowe anatarajiwa pia kuwatoa hofu wananchi wa kata ya Iyela kutokana na madai ya kuanzishwa makundi ya kiharamia jijini Mbeya yanayoratibiwa na mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba yenye lengo la kuwatisha wananchi wasijitokeze kupiga kura.

Mbeya ni ngome kuu ya CHADEMA kwa ukanda wa nyanda za juu kusini na ushindi wa chama hicho katika kata ya Iyela unatarajiwa kuwa wa kishindo.
 
Mbeya ni ngome kuu ya CHADEMA kwa ukanda wa nyanda za juu kusini na ushindi wa chama hicho katika kata ya Iyela unatarajiwa kuwa wa kishindo.

Matokeo yakitangazwa CCM imeshinda msianze kukimbilia kwenye asilimia mtakazozipata na kulalamika mmeibiwa kura kwasababu CHADEMA mnagubu kama "nyumba ndogo".
 
Matokeo yakitangazwa CCM imeshinda msianze kukimbilia kwenye asilimia mtakazozipata na kulalamika mmeibiwa kura kwasababu CHADEMA mnagubu kama "nyumba ndogo".

Always you talk nonsense!
 
Tunawatakia mkutano mwema makamanda wote wa hapo Mbeya!! Magamba wataisoma namba hapo!!
 
nice trick but when cdm will arrives in interior parts where there are indigineous still believed that nyerere still live and he is the one who contest in presidency position of ccm when it come in general election LETS INVEST MUCH AT RURAL AREAS AND WE WONT REGRETS FOR OUR DECISION WE MADE.
 
Matokeo yakitangazwa CCM imeshinda msianze kukimbilia kwenye asilimia mtakazozipata na kulalamika mmeibiwa kura kwasababu CHADEMA mnagubu kama "nyumba ndogo".
Mkuu utaacha ujinga lini?kila ukichangia ni pumba tu!
 
Big juu ....kaza mwendo....mbowe uwahi bungeni michango yako huwa ya busara sana ndani ya bunge na nje ya bunge
 
nice trick but when cdm will arrives in interior parts where there are indigineous still believed that nyerere still live and he is the one who contest in presidency position of ccm when it come in general election LETS INVEST MUCH AT RURAL AREAS AND WE WONT REGRETS FOR OUR DECISION WE MADE.

Chadema now has centralized their Party for the purpose you mention!
 
Big juu ....kaza mwendo....mbowe uwahi bungeni michango yako huwa ya busara sana ndani ya bunge na nje ya bunge

Usijali bungeni pia wiki ijayo atakuwepo kwa sababu bajeti itasomwa Alhamisi.
 
Sijui kwanini watanzania wanafall kwa wahuni!! Jitu DJ eti linaingia katika siasa... Nashauri Katiba mpya izungumzie usomi wa mwanasiasa, mana hii kupata vichwa vilivyokuwa vikipotosha maadili kisha saivi vinataka serikali ni khatari kweli kwa taifa hili. Yaani ichi chama is like a joke;

Mtu katoka upadre kaingia katika kinyanyang'anizi cha urais, tena kwa masharti kwamba alipwe kama anavolipwa mbunge na CDM, (jitu lipo kwa ajili ya tumbo lake lakini watu wanadanganyika, kweli nyie wadanganyika)
Mtu alikuwa DJ, akipiga miziki, akipotosha watu, akiwaingiza watu katika machafu leo hii anakuwa mwenyekiti wa chama, Mbowe, duh!! Taifa hili ni janga!

Mtu alikua msanii, kashazoea bangi na lugha za matusi, leo anaingia bungeni!!! Mtihani si mdogo.... Mwanasiasa ni Zitto kabwe tu, walobakia ni wahuni tu! Haya jamani, kuleni SUMU vizuri miifa msije kulalamika
 
Uongozi wa kweli ndio huu, na wakati wa ukombozi ni sasa!Nawaomba watu wa Mbeya kujitokeza kwa wingi wakachume busara,peeeeoples!
 
Back
Top Bottom