Mbowe kupanda kizimbani leo

Ametudanganya sana na ukawa yake akamuliwe tu
 
Waingereza hawana huo msemo , huo labda wako.

Pale chini redio uhuru, kuna kimgahawa jioni huwa wanafundishana kiingereza, na huyu jamaa amehitimu cha kuongea sasa ameanza kujifunza misemo ya kingereza,"kaaaazi kwelikweli"
 
Hivi Hivi mnalipwa buku ngapi?

Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…