Acha uongo mbona mimi sijapata messege toka data base!
Kama kawaida nitakuwepo kutoa update jamvini. Tuombe uzima.
Mkutano upo, kama unataka kujivua gamba karibu pale NMC.
Msako unaendelea
Acha uongo mbona mimi sijapata messege toka data base!
Kwani we ni nani bwana mbona unatuyeyusha?
makamanda woe mliyopo arusha
na sehemu za jirani
mnakaribishwa kesho kwenye
mkutano wa hadhara utakao
fanyika kwenye viwanja vya nmc ,
mapambano hayo yataendeshwa
na kamanda wa anga mh
freeman mbowe pamoja na
kamanda wa m4c kamanda lema
mbunge aliyopo likizo arusha
mjini....karibuni bila kukosa.