Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,199
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Kwa haya anayofanya, naona wamemstahi kama wamemwita irrelevant. Alistahili sifa nzito kuliko hiyo.
By the way, hivi matendo yake ni relevant kwa standards za wapi?
 
Kama alisema ameondoka UKAWA sababu Lowassa amekuja. Leo unarudi kwa Lowassa ameondoka UKAWA na CUF wameondoka kwenye huu umoja?

Regarding him as Irrelevant politician it's typical perfect hit spot.. Yes he is..
 
..mwenendo wa Prof.Lipumba hivi karibuni ndiyo unaosababisha adharauliwe na kuvunjiwa heshima.

..hata marafiki zake kama Mohamed Said wanamshangaa kwa haya mambo anayoyafanya.

..Prof angekaa pembeni na wenzake ktk cuf kama wangemhitaji wangemuomba arudie ktk nafasi ya mwenyekiti. Lakini siyo yeye Prof kuanza kuleta vurugu na mifarakano ktk chama.
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Kumbe neno "irrelevant" ni tusi?!
 
Back
Top Bottom