Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Jamaa si smart kichwanj na hana kabisa kariba ha Uongozi.ndo maana kuna watu wenye akili CDM wameamua kujinyamazia tu maana wanaona kabisa jamaa hamna kitu.
Wengine wameamua kutojihusisha na siasa. Akina Prof Safari. Sababu Mbowe ana uwezo wa kuongoza vijana wahuni wahuni tu kama akina Mdude Nyagali n.k
Nambie watu wazima walioko Chadema ambao wanaheshimika katika jamii ni akina nani? Huwezi pata. Utakuta wavuta bangi tu akina xxxxx hao ndo wamejaa.
Watu wenye akili ambao walitakiwa kupata nafasi za maana hawapo badala yake wamepewa nafasi hizo akina ndio mzee.
Unapoona Chadema inazalisha watu kama akina Lijua Kali maaana yake ndo waliomo huo. Siyo leo mnamwona Lijuakali mnamshangaa wakati mmekaa naye miaka mitano huko kwenu.
Wengine wameamua kutojihusisha na siasa. Akina Prof Safari. Sababu Mbowe ana uwezo wa kuongoza vijana wahuni wahuni tu kama akina Mdude Nyagali n.k
Nambie watu wazima walioko Chadema ambao wanaheshimika katika jamii ni akina nani? Huwezi pata. Utakuta wavuta bangi tu akina xxxxx hao ndo wamejaa.
Watu wenye akili ambao walitakiwa kupata nafasi za maana hawapo badala yake wamepewa nafasi hizo akina ndio mzee.
Unapoona Chadema inazalisha watu kama akina Lijua Kali maaana yake ndo waliomo huo. Siyo leo mnamwona Lijuakali mnamshangaa wakati mmekaa naye miaka mitano huko kwenu.