figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,494
- 54,906
Kwa taarifa rasmi niliyoipata kutoka kwa Mbunge wa Musoma mjini Mh. Vincent Nyerere, inasema kuwa Mh. Mbowe na wabunge wengine walioambatana nae watawasili leo hii.Mh. Mbowe ataitembelea Tarime, miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa na CHADEMA,kufungua ofisi za Chama kwenye kata mbalimbali..Jumapili,asubuhi ataongea na madiwani wa Musoma na jioni atazungumza na wadau mbalimbali wa chama hapa Musoma..Jumatatu ndo, mkutano wenyewe utafanyika katikaViwanja vya Mukendo. mia
Jumatatu kuanzia saa nane mchana, Mh. Mbowe, Mh. Nyerere, Mh. Nassari, Mh. Lema na wengine wengi wataongea.."sisi hatutaongea na watoto kama walivyofanya CCM, tutaongea na watu wazima kuwaeleza mustakabali wa Taifa letu"Ewe mkazi wa Musoma na maeneo ya jirani, usikose kuhudhuria...HARAKATI ZINAENDELEA.. mia
Nitakuwepo na nitawakilisha vema!!
pamoja sana na kamanda wa anga
Nakumbuka hata wakti wa kifo cha CHACHA WANGWE alikuwa anarukaruka South Africa na nasikia alifanya sherehe kwa kusikia kuwa taarifa ya msiba huo. Katika tukio hili la KIBANDA nasikia aliga kuwa hatakua Dar bali atakuwa HAI kuhudhuria mkutano wa baraza la Halmashauri , lakini akaonekana MOI akimpa pole bwana KIBANDA. Huyu jamaa mtata sana kama jini vile.
Nakumbuka hata wakti wa kifo cha CHACHA WANGWE alikuwa anarukaruka South Africa na nasikia alifanya sherehe kwa kusikia kuwa taarifa ya msiba huo. Katika tukio hili la KIBANDA nasikia aliga kuwa hatakua Dar bali atakuwa HAI kuhudhuria mkutano wa baraza la Halmashauri , lakini akaonekana MOI akimpa pole bwana KIBANDA. Huyu jamaa mtata sana kama jini vile.
Mumlinde sana huyu mmafia wenu, huku Mara bado damu ya CHACHA WANGWE inalia naye.
Anakuja kutambika, tangu CHACHA WANGWE afariki hajawahi kukanyaga huku kwetu
Mumlinde sana huyu mmafia wenu, huku Mara bado damu ya CHACHA WANGWE inalia naye.
akimaliza Musoma aje kupiga kambi Arusha mpaka ufanyike uchaguzi wa madiwaniKwa taarifa rasmi niliyoipata kutoka kwa Mbunge wa Musoma mjini Mh. Vincent Nyerere, inasema kuwa Mh. Mbowe na wabunge wengine walioambatana nae watawasili leo hii.Mh. Mbowe ataitembelea Tarime, miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa na CHADEMA,kufungua ofisi za Chama kwenye kata mbalimbali..Jumapili,asubuhi ataongea na madiwani wa Musoma na jioni atazungumza na wadau mbalimbali wa chama hapa Musoma..Jumatatu ndo, mkutano wenyewe utafanyika katikaViwanja vya Mukendo. mia