Kuna mambo yanakera sana. Hebu fikiria miaka 10 serikali inashindwa kutoa tsh billion 1 kwa ujenzi wa chuo cha wauguzi lakini serikali hiyo hiyo inatumia kiasi kama hicho cha fedha kusherekea nanenane mara 1. Hilo la Board ya Kariakoo ndio usiseme! Sijui hiyo wizara husika kama iko hai!
sasa wamekuja bungeni au kwenye vikao vya chama?
Anasema kitendo cha uongozi wote wa juu, mawaziri na viongozi serikali kukimbia bunge na kuacha watu watano kwa ajiri ya kulinda nafasi ya chama ni aibu sana. Anasema hiki kitendo ni sawa na kukimbia iikulu na kuwaachia upinzani.
Akasema wananchi wanaona tunavyo pambana. anasema ntawambia watanzania warudi barabarani kwa sababu hapa bungeni hatusikilizwi.
Naomba wananchi waendelee kuweka presha huko mtaani wakati sisi tukiweka presha bungeni.
watakimbia hata nchi sasa!
Tatizo la JK ni washauri wake, wanamdanganya kuwa mambo ni shwali, mwisho wa siku atashuudia ccm ikimfia mikononi!!!!!