Mbowe anazizimisha Nzega

Mbowe anazizimisha Nzega

Kamanda wa Anga ni noumaaaa,ua kabisa hayo magamba yaliyozoea vya kunyonga
 
Hii nyimbo kali ina ukweli ndani yake.
Angewekwa na Afande hapo angeua sn.Remix awepo bwana.
 
wakuu nipo safarini kwenda mwanza,nimezinyaka taarifa juu ya uwepo wa mkombozi mbowe ktk anga la mji wa nzega,nikaona isiwe tabu nikakatiza na stk mpaka parking pembeni ya stand ya nzega.nikapokelewa na track ya prof.jay na mh.sugu!pamoja na jua kali,umati umetanda ukimgojea kamanda kwa hamu.tupicha nita-upload!kamanda mtoi utaendelea nilipoishia.sasa chopa linamiminika toka upande wa kaskazini na kupiga swaga,mji ni kama mbiu imelia,watu wanaelea huko kwa wingi wakitokea sehemu mbali mbali za mji.mbowe anatua kama.

kamanda unaweza weka kapicha kidogo maana wale waliotokwa na ufahamu kwa kunywa maji ya bendera ya kijani walisema chama kimekufa tangu 2013.
 
Go go go Kamanda~go chadema~go ukawa,hili ni pigo la mwisho linatakiwa liwe kali mbuyu uende chini.:clap2::clap2::clap2:
 
CDM ni nouma,magamba yanateketea vibaya yakiskia tu kamanda wa anga anatua!
 
Back
Top Bottom