Mbowe ana hekima sana!


Na zaidi hapendi kushangiliwashangiliwa na kukatizwa anapofunguka kama magamba wanavyopenda mijisifa ya kushangiliwa.
 

Na zaidi hapendi kushangiliwashangiliwa na kukatizwa anapofunguka kama magamba wanavyopenda mijisifa ya kushangiliwa.
 
kumbe ukiwa muuza dawa za kulevya na kuendesha kumbi za muziki na kuuza pombe unakuwa na busara,

Halafu kumbe ukipanga na kusimamia mauaji ya watu unakuwa na busara kweli tanzania daima hakuna waandishi,

Aliekutuma ukae hapo B. Bar unywe pombe nani? hadi unabwatuka baada ya pombe kuuzingira ubongo wako?Nakuona umekaa na Mhudumu mweupe mweupe kavalia T.Shirt ya Ndovu (Kinana Lager).Nenda home kacheze na mwanao sio unachafua hewa za Great Thinkers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…