mbona tume zingine huwa zinaundwa fasta tu soon after tukio? Kwa hili la arusha ni nini kinampa kigugumizi mkuu wa kaya? hapo hata mi naona kuna ihusika wake tene wa moja kwa moja, au ndo wanaandaa kwanza majibu halafu ndo waunde tume? Kwa hili ccm na polisi wenu hamtoki, hii ngumi imewageukia ninyi tena ya kichwa.......mmeua watu wasio na hatia,damu zao kaburini zitawalilia daima,hivi kwanini msikubali tu kuwa cdm saiv inapendwa? Kila kitu kina mwanzao na mwisho kubalini huu ndo mwisho wenu mkae bench mjipange 2020 mje na sera nzuri tutawachagua tu lakini mambo ya kuua watu yanawapa laana tu,tena mby zaidi mnaanza kusingizia kwa wengine