Mbona tunasahau kama nchi yetu ni ya kijamaa hatutaki mabepari

illegal migrant

JF-Expert Member
Oct 18, 2013
1,277
1,121
Haiingii akilini mtu huwezi kumudu mlo mmoja kwa siku halafu ananunua smart phone na bando la kukopa unamtetea mtu aliyeficha hela chafu ambazo zinauwezo wa kuendesha nchi kwa miaka mitano lazima ukapimwe akili, ofisini kwake wamejaa raia wa kigeni na wenyeji wamepewa cheap labour hata kama wana vi degree vyao, wanatukanwa na vitoto vya kigabachori.. hii nchi ni ya kijamaa tena kama mi ningekuwa raisi ningepunguza kama sio kumaliza kabisa pengo la wenye nacho na wasiokuwanacho haiwezekani unapita kituo cha daladala unakuta kuna abiria kama 2000 wanasubiri daladala halafu lijitu linapita linaenda kazini na gari yenya seating capacity ya abiria sita mfano noah ningekuwa na mamlaka ningeamuru kila gari binafsi ipakie abiria asubuhi muda wa kwenda kazini we umetoa wapi hela ya kununua gari na mwenzio akose kama sio "wizi mtupu" in Nyerere voice jamaa limetuibia hela hapa hapa sasa linataka kununua nchi yetu halafu kuna vimada wanadiriki kujitokeza kumtetea hili lijamaa sijui kwa nini hawalipigi kitanzi.
 
Mkuu nafikiri kimwili tuko wote karne hii kifikra umebaki kwenye "stone age" hebu tuhadithie namna ungewezaje kuwinda dinosaur ili ulishe vijiji kwa makilo ya nyama.
 
Haiingii akilini mtu huwezi kumudu mlo mmoja kwa siku halafu ananunua smart phone na bando la kukopa unamtetea mtu aliyeficha hela chafu ambazo zinauwezo wa kuendesha nchi kwa miaka mitano lazima ukapimwe akili, ofisini kwake wamejaa raia wa kigeni na wenyeji wamepewa cheap labour hata kama wana vi degree vyao, wanatukanwa na vitoto vya kigabachori.. hii nchi ni ya kijamaa tena kama mi ningekuwa raisi ningepunguza kama sio kumaliza kabisa pengo la wenye nacho na wasiokuwanacho haiwezekani unapita kituo cha daladala unakuta kuna abiria kama 2000 wanasubiri daladala halafu lijitu linapita linaenda kazini na gari yenya seating capacity ya abiria sita mfano noah ningekuwa na mamlaka ningeamuru kila gari binafsi ipakie abiria asubuhi muda wa kwenda kazini we umetoa wapi hela ya kununua gari na mwenzio akose kama sio "wizi mtupu" in Nyerere voice jamaa limetuibia hela hapa hapa sasa linataka kununua nchi yetu halafu kuna vimada wanadiriki kujitokeza kumtetea hili lijamaa sijui kwa nini hawalipigi kitanzi.

Pigana uondokane na umaskini mkuu,,maana una chuki kwa walionacho,, mtu gari kanunua kwa hela yake
utampangiaje awape watu hasiowajua lift
,,, we kabanane na wenzio kwenye daladala muibiane simu
 
Pigana uondokane na umaskini mkuu,,maana una chuki kwa walionacho,, mtu gari kanunua kwa hela yake
utampangiaje awape watu hasiowajua lift
,,, we kabanane na wenzio kwenye daladala muibiane simu
Man ukijua unajibishana na nani Utaomba mods waifute acc yako kitu ambacho hakiwezekani.
 
Back
Top Bottom