Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi mbona television ya taifa hawa rushi mikutano ya ukawa? Kwani shirika hili haliendeshwi kwakodi za wana ukawa kama watanzania wanao lipa kodi?
TBCCM TBCinterahamwe ni branch ya CCM kama ilivyo gazeti la Habari Leo
tbc itaonesha mikutano ya ccm,cuf,nccr na chadema kwa vipo kisheria UKAWA ni nn hata ulalamike maana naona kanzu nyingi hivi ukawa wachungaji na mapadre hawaiungi mkono?maana siwaoni?Sha.me on you all.
Ukame wa fikra! Majambazi wanapokamatwa na kuonyeshwa katika TV wapo kisheria?tbc itaonesha mikutano ya ccm,cuf,nccr na chadema kwa vipo kisheria UKAWA ni nn hata ulalamike maana naona kanzu nyingi hivi ukawa wachungaji na mapadre hawaiungi mkono?maana siwaoni?Sha.me on you all.
...misukule tv...
TBC ni yetu Ccm ukawa yao ITV daima