Mbona silioni tena bunge la katiba?

Mbona silioni tena bunge la katiba?

lastfadh

Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
26
Reaction score
2
wadau mbona sioni bunge likioneshwa kupitia tv yoyote au linaendelea kwa siri?
 
wadau mbona sioni bunge likioneshwa kupitia tv yoyote au linaendelea kwa siri?

Si waliwadanganya kuwa wanataka kura za wazi ili wanaoitwa WANANCHI WALIOTUTUMA watuone! Je munawaona enyi Wananchi muitwao muliowatuma? Au wamejifungia kila mmoja ndani ya kamati? Ule Uwazi uko wapi?!
 
wadau mbona sioni bunge likioneshwa kupitia tv yoyote au linaendelea kwa siri?
Mkuu, kwa sasa mijadala inawndelea kwenyemzile kamati 12. Mjadala bungeni utaanza siku ya Ijumaa.
 
Tulieni tuwaandalie katiba,huu ndio uwazi mnaotaka
 
Shukran mkuu manake nilikuwa nimechanganyikiwa kila siku nafuatilia sioni chochote
 
Back
Top Bottom