realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
Hii ina nishangaza sana kutokana na jina la raisi mteule wa marekani kutajwa katika vyombo vya habari kila siku.
Kauli anazotoa,ni kama anatawala Marekani.
Huyu hajapoka madaraka ya marekani kabla ya kiapo?
Kauli anazotoa,ni kama anatawala Marekani.
Huyu hajapoka madaraka ya marekani kabla ya kiapo?