MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,829
- 2,986
Heshima kwenu wakuu.
Well, nimeona nafasi za kazi fhi360 na wameelekeza watu waombe kupitia website yao.
Nimeingia kwenye website yao nimeweka e-mail ila tatizo linakuja kwenye password wanasema nichangaye number, alphabet n.k ila bado inakataa.
Nikaweka password ya kwanza then wakataka ni-confirm nikai-copy then nika-paste sehemu ya ku-confirm password nikaambia password hai-match. Tatizo hili mnalipata na nyie wakuu...?
Kama wapo fhi360 humu tunaomba msaada juu ya hilo tatizo wakuu. Nawasilisha.
Thanks.
Well, nimeona nafasi za kazi fhi360 na wameelekeza watu waombe kupitia website yao.
Nimeingia kwenye website yao nimeweka e-mail ila tatizo linakuja kwenye password wanasema nichangaye number, alphabet n.k ila bado inakataa.
Nikaweka password ya kwanza then wakataka ni-confirm nikai-copy then nika-paste sehemu ya ku-confirm password nikaambia password hai-match. Tatizo hili mnalipata na nyie wakuu...?
Kama wapo fhi360 humu tunaomba msaada juu ya hilo tatizo wakuu. Nawasilisha.
Thanks.