jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Hajawahi fanya jitihada za kututoa kwenye minyororo ya mkoloni ccm, sisi ambao si nduguze tumuenzi kwa lipi? kwa sababu mnataka tuseme haya RIP sumari, huo ndio umoja wa kitaifa, kwenye dhahabu hakuna umoja wa kitaifa, kwa kuienzi dhahabu yangu nasema you can rest anywhere sumari.