rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Nasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
Unachoongea kinakutafsiri ww ni nani,Nasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
Wewe akili yako ni sawa na za bata mzingaNasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
Huyu mleta mada yupo frustrated na ujio wa magufuli ndani ya lumumba baada ya kukabidhiwa uenyekiti maana posho zotezinapigwa pangaNa ww utakuwa ni mzururaji kwann unafuatilia maisha yake wakati wanchi wa jimboni kwake hatuulizi
Ana uwezo wa kukuajiri wewe mkeo pamoja na ndugu zako wote kuanzia babu yako hadi binamu zakoNasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
Frustrated sisimiziNasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
kwann bei za sukar hazieleki?Nasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!
Umemjuaje mkuu?? Unatoa HUDUMA tujembowe ninavomjua ,atakuwa amepata mwanamke huko ndio maana habanduki
Atakua kaja kulipwa fadhila na mbunge wake wa viti maalum labda..![]()
Umejuaje?Ana uwezo wa kukuajiri wewe mkeo pamoja na ndugu zako wote kuanzia babu yako hadi binamu zako
Kamshauri kwanza ngosha arudi kwao Chato.Nasikia anazurura na msururu wa vijana mitaani huko, kama hana nauli ya kwenda jimboni kwake si aseme!