Mbona haniombi kitu?

My well being is my responsibility. I pay my dues, thats how mama taught me. Then why would i ask anything from you while i can take care of myself huh? Acheni ushamba wanaume mkipendwa for who you are mnataka mpendwe for what you are, mkipendwa for what you have mnataka mpendwe for who you are, whats wrong witchu creatures!
 

Wewe ni mchawi unayejiroga mwenyewe,hapo kuna shida gani hata kama humpi kitu?usikariri kwa jirani lazima na wewe yafanane,endelezeni uhusiano hatimaye ndoa.
 

Kama una mpenzi wa hivyo kaka kuwa na furaha!! kwani anaonyesha wazi kuwa material means nothing to her when it comes to your relationship!! Though! Usichukue situations like that for granted kwamba hajakuomba kitu basi wewe mwaka wa pili sasa hata ka suprise kadogo kakumuonyesha kwamba unamjali hufanyi: mapenzi sio pesa na hiyo anakuonyesha yeye. wewe kaa u spend time to appreciate that by doing small things that not necessarily have to cost you but to show her that you love her too without ku involve pete na cheni za almasi. Hongera Mkuu kwa kuwa na mpenzi wa hivyo wengi wanawatafuta hao.
 
Ina maana hujawahi hata kumununulia mwana sesere. Basi weekend hii mpeleke mlimani city uone nini anapenda kuwa nacho umpe hata kwa kumbukumbu?. Man toa zawadi tu.
 
Jamani mi mpenz wangu halikuwa hata hanipi hata vocha na wala sikuwai kumwambia kitu, bt nikawa najiuliza huyu mwanaume ameumbwaje hata vocha jaman? So was just testing him, bt eventualy akagundua hilo and nw ananipa hata nisiyoyataraji so pls show ua manism in u.
 
calm down swthrt.:eyebrows:
 
Angalia mkuu asije akawa anakusema akiwa na mashori wenzake .. tafuta hata kijizawadi .
 
Kaka angu asikuambie mtu,watu hatupendi kuomba chochote kwa mwanaume au kuhongwa.ila mtu kama ni mpenz wako akikupa kitu chochote kiukweli unafurahi na haijalishi kama hivyo vitu unavyovingi au la!mi binafsi huwa nafurahi sana nikipokea zawadi yoyote kwa mpnz wangu,hata kama ni pipi tu!wanawake tumeumbwa kama watoto,once unapomuona rafiki yako kapewa zawadi na mpnz wake hata kama huombi utajisikia vibaya kuwa kwanini mpenz wako hajawahi kukupa kitu chochote!wewe huyo dada nae hajawahi kukununulia zawadi yoyote?pengine kaamua kunyamaza akuone mwisho wako ni nini.
 
yeye huwa anakuzawadia, huwa unafurahia, kama ni yes basi fanya vile upendavyo kufanyiwa.
 
Mdada wa wa2 hana tatizo. Wewe ndiye mwenye matatizo, umekulia kwenye mazingira mabovu. Umeaminishwa kwamba ni lazima mwanamke amuombe mwanaume. Mko wengi wenye mind kama yako. Kibaya zaidi hata wanawake waliokulia kwenye mazingira mabovu kama yako, wameaminishwa kama wanataka ku-prove wanapendwa ni lazima wamuombe mwanaume kitu fulani. Tubadilike.
 
Watu wengine huwa hawana tabia ya kuomba,anategemea wewe ujiongezwe,unategemea nani amnunulie hata pad km si wewe? nachokiona wewe ni kachoyo.
 
Katika hali ya kawaida hamtakiwi kuombana vitu. Kama anakuomba mapenzi inatosha.
 
Sio kila mtu anaweza/penda kuomba omba. Wewe kama unaweza mpe vile unavyoona ungependa kumpa sio eti unamtegea mpaka aombe. Huko ndani ya ndoa sindo mwanzo wa kutegeana unyumba? Mmoja haombi na mwingine hatoi bila kuombwa.

Duh, wakitegeana unyumba utakuwa ndo mwanzo wa kupata jibu la hili swali alilouliza na yale yaliyojificha kwenye roho...kuna watu wakinyimwa wanaongea wewe...ohooooooooo!!
 
Siyo lazima kuombana ombana ndiyo mapenzi yaende. Vipi umeshamzawadia hata chochote kwenye mahusiano yenu, hata perfume? suala la vocha ni dogo sana ndiyo maana analimudu plus mazaga zaga mengine.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…