Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Haya ni maajabu na yanajengwa kwa kusudi gani?
Alikuwepo Nape Nnauye, akaja Polepole na kisha akafuata huyu mama Mjema hata watu hawakumjua rangi yake wala anasema nini!
Sasa ghafla kateuliwa Makonda kuwa Katibu Itikadi, ona jinsi cheo hicho kinavyo tangazwa kama cheo cha KIMAMLAKA, kinachotisha na kuna watu ETI WAKAE CHONJO maana walimsema vibaya Makonda aka Bashite.
Katibu itikadi hana mamlaka yeyote nje ya chama chake na nahisi hata huko ndani ya CCM labda iwe kuwa na nafasi ya kuwachongea wenzake kwa bosi wake Chongolo (yule aliyewahi kumtusi akiwa DC Kinondoni).
Kwa nini hali hii ya kuonyesha kuwa ana madaraka makubwa na watu kupata woga inatokana na nini wakati hana tofauti na MC mkuu wa chama au yule muathini katika misikiti yetu, yaani kifupi ni mpiga kelele mkuu wa chama kunadi sera?
Alikuwepo Nape Nnauye, akaja Polepole na kisha akafuata huyu mama Mjema hata watu hawakumjua rangi yake wala anasema nini!
Sasa ghafla kateuliwa Makonda kuwa Katibu Itikadi, ona jinsi cheo hicho kinavyo tangazwa kama cheo cha KIMAMLAKA, kinachotisha na kuna watu ETI WAKAE CHONJO maana walimsema vibaya Makonda aka Bashite.
Katibu itikadi hana mamlaka yeyote nje ya chama chake na nahisi hata huko ndani ya CCM labda iwe kuwa na nafasi ya kuwachongea wenzake kwa bosi wake Chongolo (yule aliyewahi kumtusi akiwa DC Kinondoni).
Kwa nini hali hii ya kuonyesha kuwa ana madaraka makubwa na watu kupata woga inatokana na nini wakati hana tofauti na MC mkuu wa chama au yule muathini katika misikiti yetu, yaani kifupi ni mpiga kelele mkuu wa chama kunadi sera?