Mbona Dr Slaa Tu?Vipi Profesa Baregu?Naye Si CDM

Mbona Dr Slaa Tu?Vipi Profesa Baregu?Naye Si CDM

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Wana Ccm wanatumia nguvu kubwa sana.Na misipa ya shingo imewasimama kwa kelele wakimulizia Dr Slaa.Huu ni unafiki na upotoshaji wa kisiasa
Dr kwa mara ya kwanza alionekana kwenye kikao akiwa na Lowassa na viongozi wengine wa chama kama Prof Baregu
Vipi Watani mbona Dr Slaa tu? Kila gazeti lenu Slaa,social network Slaa,Kwani Prof Baregu sio CDM?
Mbona hammulizii?Nilichokuja kugundua Ccm wakikumbuka nguvu ya Dr Slaa 2010 Wakijumlisha na Lowassa 2015 hawalali UNONO
Lazima watumie kila walicho nacho kupotosha watz ili wapone,Maana kihalisia siku zao zinahesabika.
Tulieni Sindano Iwaingie!
 
Sindano kali sana hii duuh bila gazi dr. wanaumia wagonjwa jmn
 
Acheni propaganda chafu magamba, nimewasiliana na dr slaa ameniambia kila kitu kinakwenda safi, tunajiandaa kuiondoa ccm kwa kishindo kikubwa.
 
Acheni propaganda chafu magamba, nimewasiliana na dr slaa ameniambia kila kitu kinakwenda safi, tunajiandaa kuiondoa ccm kwa kishindo kikubwa.

Mmeshaambiwa na Dr Slaa we na mwenzako Yericko MKOME .. hebu tafuta hiyo post ili ujumbe ukufikie mapema ..
 
Hata kama Slaa akirudi, itakuwa kwa shingo upande and things will never be the same...kujitenga kwake ni elimu tosha kwa wanachadema wenye akili kuwa Mbowe na mkwewe wako kibiashara zaidi
 
Back
Top Bottom