Jaribu kusoma vizuri kabla ya kuanza kutype. Mimi nimeuliza huyu Muungwana amefanikisha nini katika nafasi aliyokuwa nayo miaka mitano iliyopita, sasa ilo swala la kumsema sijui umelitoa wapi. Jamani kama mtu anatajwa kwamba anaweza kuwa Rais mtarajiwa, si itakuwa vyema kama sisi wananchi tutamjua inside-out ili tusije uziwa mbuzi kwenye gunia.