Ni mpango alioupendekeza kwenye kikao cha baraza la madiwani kugawa kata ili kuongeza sehemu za kugombea katika muhula ujao.
Kuna taarifa za yeye kukataliwa kwenye kata aliyogombea msimu uliopita ya kagondo, hivyo alivyodokeza kugombea kwenye kata ya kashai anapoishi akaonekana hakubaliki ndipo akaja na kisingizio cha kuwa kata hiyo ni kubwa hivyo itengwe ili wapate kata nyingine kutoka kata hiyo ya kashai.
Mpango wake huo umekwama baada ya madiwani waliopokea hoja hiyo kustukia na kusema kuwa hawakotayari kuliunga mkono, ili aachwe aendelee kugombea kwenye kata yake ambayo sasa hivi hakubaliki kwasababu ya ubabe wake.
Kuna taarifa za yeye kukataliwa kwenye kata aliyogombea msimu uliopita ya kagondo, hivyo alivyodokeza kugombea kwenye kata ya kashai anapoishi akaonekana hakubaliki ndipo akaja na kisingizio cha kuwa kata hiyo ni kubwa hivyo itengwe ili wapate kata nyingine kutoka kata hiyo ya kashai.
Mpango wake huo umekwama baada ya madiwani waliopokea hoja hiyo kustukia na kusema kuwa hawakotayari kuliunga mkono, ili aachwe aendelee kugombea kwenye kata yake ambayo sasa hivi hakubaliki kwasababu ya ubabe wake.