Mbinu chafu za uchaguzi za chama changu cha upinzani

Jahlex

JF-Expert Member
Sep 23, 2013
512
604
...mbinu ilifanikiwa na kutuwezesha kumpata MWENYEKITI WA KITONGOJI pekee toka Upinzani mchapa kazi ambaye amekuwa chachu ya maendeleo.
 
ilinilazimu kufanya kila liwezekanalo kuhujumu haki za wale wanaowaunga mkono

Miaka 5 iliyopita nililazimika kushawishi vijana kuiba kadi za wapiga kura ambao hawakuwa tayari kuleta mabadiliko ikiwemo ni pamoja na wazee na watu wa makamo ambao tuliona wangeipigia CCM kura na kuwakosesha haki ya kufanya hivyo,

Mara hii tena nimefanikiwa kuja na mbinu mpya kuwahadaa vikongwe na wazee na watu wengine wasio na uelewa mkubwa wa masuala ya uraia kuwa hawakuwa na sababu ya kujiandikisha kwani tayari walikuwa na kadi za kupigia kura na wangepiga kula kumbe sivyo.

Ubaya ubaya tu kwani kwa muda mrefu CCM wameshinda kwa mbinu mbinu tu na sisi ni muda wetu wa kuwashinda kwa mbinu mbinu hivyo hivyo,
Ukiunganisha hizo bold, unapata sentensi hii "ilinilazimu kufanya kila liwezekanalo kuhujumu haki, kushawishi vijana kuiba kadi za wapiga kura, tena nimefanikiwa kuja na mbinu mpya kuwahadaa vikongwe na wazee na watu wengine".

What goes around, comes around!.

Tupe matokeo, ndipo niendeleze somo, ila meanwhile, kasome kitu kinachoitwa "law of the karma!".
12 Little Known Laws of Karma (That Will Change Your Life ...

Pasco
 
huyu mtoa uzi ni kenge mweusi.

Upuuzi huu. na ndo maana wapinzani wameendelea kuishi kwa matukio. Very poor!
 
huyu mtoa uzi ni kenge mweusi.

Upuuzi huu. na ndo maana wapinzani wameendelea kuishi kwa matukio. Very poor!

Ha ha ha ha nimecheka sana mkuu. Hii ni hasira au muuguzi kakuchoma vibaya sindano !!!?
 
Wewe mleta mada acha uongo;mbona Kigaila kamkimbia Chawene jimbo la Kibakwe !

Mbunge mpya wenu ni Mwikola kwa taarifa !
 
Back
Top Bottom