Mbinga hatuna imani na mkuu wa kituo cha Polisi

Mbinga hatuna imani na mkuu wa kituo cha Polisi

Jimmy Kadebedebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
468
Reaction score
191
Ndugu wana jamii forum napenda kuwasilisha mada hii kwenu ili nipate mawazo yenu juu ya huyu mkuu wa kituo cha polis kuona wanaenda kumkamata binti mwenye umri kama wa miaka 24 akiwemo mkuu wa kituo na askari wengine 11.Bint huyo alishawahi kuhukumiwa na mahakama kwa tuhuma toka kwa boss wake kuwa alimwibia tshs milion 27 ambapo mwisho wa kesi ilisadikika bint huyo hakuiba hizo ela lkn kutokana na rushwa ambazo zilitolewa kama maji na boss huyo(mwanamke] mjane mpk za ngono bint yule alihukumiwa kifungo cha miaka 4 au fain laki saba na akitoka alipe milioni 5.Kwa hukumu hii wana jf hamuoni kuwa rushwa ilitumika?, Yule bint alilipa fain na akakata rufaa lkn akiwa kwenye process tunashangaa tena kuona mkuu wa kituo pamoja na askar hao 11 wanamkamata tena dada huyo utazan jambazi lililoua,Mimi sina imani na mkuu wa kituo wilaya ya Mbinga kwan tunaona wauza bangi, wez, majambazi na wengieo ambao ham deal nao mnatia aibu sana kwa kula rushwa askari wa mbinga.
 
Siku hizi kuwa na imani na polisi inabidi uwe na akili ya mwendawazimu... Si huyo tu, ni wote na ndiyo maana wanabambikia watu mafuvu, manauwa, wanasafirisha bangi tena kwenye magari ya polisi, wanaiba mamilioni ya hela na kugawana, wanafanya ujambazi, wanakodisha silaha kwa majambazi, wanakutwa na nyara za serikali....

Haingii akilini eti kumkamata binti tu kunahitaji polisi 11, tena na mkuu wa kituo ndani... Ndo maana Mtikira alikataa kukamatwa na askari mwenye cheo kidogo...
 
Ndugu wana jamii forum napenda kuwasilisha mada hii kwenu ili nipate mawazo yenu juu ya huyu mkuu wa kituo cha polis kuona wanaenda kumkamata binti mwenye umri kama wa miaka 24 akiwemo mkuu wa kituo na askari wengine 11.Bint huyo alishawahi kuhukumiwa na mahakama kwa tuhuma toka kwa boss wake kuwa alimwibia tshs milion 27 ambapo mwisho wa kesi ilisadikika bint huyo hakuiba hizo ela lkn kutokana na rushwa ambazo zilitolewa kama maji na boss huyo(mwanamke] mjane mpk za ngono bint yule alihukumiwa kifungo cha miaka 4 au fain laki saba na akitoka alipe milioni 5.Kwa hukumu hii wana jf hamuoni kuwa rushwa ilitumika?, Yule bint alilipa fain na akakata rufaa lkn akiwa kwenye process tunashangaa tena kuona mkuu wa kituo pamoja na askar hao 11 wanamkamata tena dada huyo utazan jambazi lililoua,Mimi sina imani na mkuu wa kituo wilaya ya Mbinga kwan tunaona wauza bangi, wez, majambazi na wengieo ambao ham deal nao mnatia aibu sana kwa kula rushwa askari wa mbinga.
Tafuteni wa kweni au ombeni kituo cha polisi kiondolewe mmbaki na ulinzi shirikishi.
 
Mpaka huyo mtu akafungwa, kwa nini hukwenda kutoa usahahidi wako mahakamani? Badala yake unalalama hapa. Nadhani umepewa ushauri wa bure 'ANDAMANENI KITUO HICHO CHA POLISI KIONDOLEWE ILI MUONDOKANE NA BALAA LA KUBAMBIKIZWA KESI MBALI NA ULINZI WA SUNGUSUNGU'
 
Sikia yule hayuko pale kisiasa,...na Wala hajateuliwa kama hao wengne usiingize Siasa kwenye jesh wewe.
 
Back
Top Bottom