figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Udhibiti wa nguvu na sheria kwa wafanyabiashara wadogo kutotakiwa kuingia ndani ya kituo cha daladala cha Mbezi mwisho jijini Dar es salaam kumesababisha baadhi ya wafanyabiashara wadogo kulazimika kufanya biashara zao pembezoni mwa barabara jambo ambalo nalo limeelezwa kuwa kero kwa watumuiaji wa barabara pamoja na hatari ya kugongwa na magari pindi ajali itakapotokea.