Mbeya: Shanta mining waula mgodi wa dhahabu kwa sh. mil 390; hii ni akili au matope?

Tusiwe watu wa kulalamika, hicho kifusi kimekuwepo enzi na enzi na hakuna aliye thubutu! Hawa jamaa wamejenga uwezo kwa kuweka plant maeneo hayo na ikawa fursa kwa wananchi mnaishia kulalamika! Tuwe tunaangalia pande zote badala ya kujifungia kwa box na kulalama.
 
Tusiwe watu wa kulalamika, hicho kifusi kimekuwepo enzi na enzi na hakuna aliye thubutu! Hawa jamaa wamejenga uwezo kwa kuweka plant maeneo hayo na ikawa fursa kwa wananchi mnaishia kulalamika! Tuwe tunaangalia pande zote badala ya kujifungia kwa box na kulalama.
 
[h=1]CHUNYA[/h]
tz_chunya.gif

Chunya property locations map
(PDF – 192KB)

[h=2]Key facts[/h] Ownership:Wholly owned by Shanta Mining Corporation Limited (SMCL)Extent:Five prospecting licences covering approx 199 km²
(as of 1 January 2012)Location:Chunya Administrative District in the Lupa goldfields, Mbeya region, south west Tanzania, the second largest gold producing region in TanzaniaProject status:Advanced [h=2]Project potential and prospects[/h] A JORC compliant Preliminary Resource Assessment, compiled by independent modeling consultants, was released during 2009.
The company has recently completed an Environmental Impact Assessment (EIA) and Feasibility Study on the Chunya Gold Project in the Lupa Goldfields – the announcement was released on 6 July 2010. A mining licence application has been submitted to the relevant authorities and approval thereof is expected shortly. The aforementioned is in line with the company’s intention to develop the project into a profitable mining operation.
Budget allocations for 2010 include:

  • A phase three reverse circulation drilling program and metallurgical studies on the Chunya Gold Project tenement;
  • Follow-up soil geochemistry and geological mapping is planned at the company’s tenements to the northwest of Saza.
[h=2]Related articles[/h]
 
Ni mradi wa uchimbaji dhahabu, sio kifusi tu. Tusiwe waongo.

Kwa nini mikataba ya uchimbaji madini bado ni ya SIRI? Mbona hata nchi zilizo nyuma kuliko sisi zinafanya vizuri zaidi kwenye jambo hili? Nitoe mfano wa Papua New Guinea:

(1) Mwekezaji huko hawezi kupewa Mining Licence kabla Mkataba haujapitishwa na Bunge la nchi. Na mikataba yote ya madini lazima ikubaliwe na wananchi wa mkoa husika, na wanakuwa na HISA (sio royalty).

(2) Sheria ya uwekezaji kwenye gesi inasema lazima kwenye mradi wowote wa gesi serikali na wananchi wawe na HISA ya angalua 22.3%.

Hii ya kuuza mgodi wa dhahabu kwa dola laki mbili na upuuzi haina tofauti na ile mikataba ya akina Carl Peters na mababu wetu ambapo tulitoa nchi kwa kupewa chumvi.

Mikataba isyo ya haki sio MORALLY valid. Ndio maana mtu kama Chavez aliweza kulazimisha mikataba ya mafuta nchini kwake izungumziwe upya, na lazima taifa liwe na HISA ya angalau 30%.

Ukitawaliwa na watu wanaopokea hongo utaibiwa sana. Nchi ya Kiafrika iliyokwepa vizuri ugonjwa huu ni Botswana, ambapo taifa limehakikisha linakuwa na HISA ya 50% kwenye uchimbaji wa almasi.

Tunazungukwa na matatizo kila kona, lakini yote yanatokana na TATIZO MAMA ambalo ni utawala mbovu wa CCM. If we do not tackle that we will remain mired in abject poverty.
 
Back
Top Bottom