Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,547
- 41,059
Mtu anaendesha maisha yake kwa taabu lakini jeshi letu dhalimu linaona hata maisha yale ya kuishi kama shetani, nayo hastahili.
Mungu mwenye huruma tunaomba uipokee roho ya kiumbe chako kinyonge. Kisasi kina wewe Bwana wetu Muumba mbingu na nchi.
Mungu wetu ututazame waja wako kwa jicho la huruma maana shetani yu milangoni mwetu kila siku akitumia pesa zetu kutesa, kuteka na kuwatengenezea kesi waja wako ambao uliwaumba wakiwa huru.
Bwana wetu hata tukulilie kwa sauti na machozi ya namna gani ili balaa linalotuzunguka lipate kutoweka?
Tegemeo la wanyobge wako ni wewe Bwana wetu uliyeweza kumwangusha hata Goliati kwa jiwe la mtumishi wako dhaifu, Daudi. Bwana tunakuomba, tenda muujiza dhidi ya wadhalimu wote.
Mungu mwenye huruma tunaomba uipokee roho ya kiumbe chako kinyonge. Kisasi kina wewe Bwana wetu Muumba mbingu na nchi.
Mungu wetu ututazame waja wako kwa jicho la huruma maana shetani yu milangoni mwetu kila siku akitumia pesa zetu kutesa, kuteka na kuwatengenezea kesi waja wako ambao uliwaumba wakiwa huru.
Bwana wetu hata tukulilie kwa sauti na machozi ya namna gani ili balaa linalotuzunguka lipate kutoweka?
Tegemeo la wanyobge wako ni wewe Bwana wetu uliyeweza kumwangusha hata Goliati kwa jiwe la mtumishi wako dhaifu, Daudi. Bwana tunakuomba, tenda muujiza dhidi ya wadhalimu wote.