Mbeya long time kitambo

Nimemkumbuka mzee remmy wa kule sokomatola alikuwa mwanamziki na mchezaji mzuri sana wa drafti, wakina Devi, mzee wa kuholamaka, mzee ramadhani. Nimemkumbuka pia dr. Kasimbazi, dr. Salehe n.k.
Dr. Janja, na Dr. Minja huwa kumbuki?
 
ras jeff kapita
Ulichafua sana kuta zetu kwa kupiga chata lako
 
Umetisha japo Umesahau sokomatola,nonde,ghana nk maghorofani kulikuwa na jamaa anaitwa Imma,Nilimfahamu kupitia Bro Kinga one Yule jamaa alikuwa anawala mabinti kama kunywa maji kila Ukimuona yeye na mabinti tu full kuwachinja mpaka Leo Najiuliza sijui alikuwa anatumia dawa za wamasai pale uhindini
 
Watoto wa Malakasuka walisumbua kivipi??
Kuna binti mmoja ana jina hilo malakasuka ana tacko la haja. Isije ikawa idara hiyo!
 
Umetisha jombaa *green city* oyeeee
 
Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
haaa jirani yangu huyu mtu mfupi Mswanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…