Japo sidhani kama hii ni suluhu kwa matatizo ya elimu nchini kwa kuwa tatizo ni la kimfumo, hii ni kuionesha serikali kuwa umma hauridhishwi kabisa na jinsi sekta ya elimu inavyoendeshwa. Hapa suluhu ni kuifumua serikali yote, kwa kuwa kama ni mwili, wote umetapakaa vimelea vya kansa!