Unapatikana wapi.,kwa sababu kama ni Arusha hapokuna makampuni mengi ya mbegu za alizeti! kwa maeneo mengine ya Tanzania pia unaweza kupata mbegu ( dominant ni record). Kitu cha msingi katika kuchagua mbegu za alizeti ni capital uliyonayo na aina ya udongo na kilimo unachotaka kufanya (Modern/traditional), Kama ni modern na una capital ya kutosha unaweza kutumia mbegu (Hybrid) ambazo zinahitaji matunzo ya hali ya juu kidogo, Pia unaweza kutumia Quality seeds kama hizo records au Kenya fedha au kuna mbegu ambazo ni Quaity Declared Seeds (QDS) hizi zinapatikana kwa wingi zaidi na bei yake ni nzuri