Mbegu ya chuki imepandwa ,tutavuna mazao yake?

Mbegu ya chuki imepandwa ,tutavuna mazao yake?

mujungu

Senior Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
143
Reaction score
55
Limeanza kuwa jambo la kawaida kusikia Chadema na CCM wamepigana, damu imemwagika ,wameenda polisi nk. Wengine wanasema hata bila woga chama fulani kinataka watoto wenu wafe, wambieni wasikifuate. Chama fulani ni chama cha kigaidi,Muuaji ni nani?gaidi anayejulikana kwanini asikamatwe? Kwa hii mbegu iliyopandwa tutavuna mazao yake? Kwani angalau hata bangi ulimwa kifichoni,lakini hii inapandwa adharani kwa baraka zote za Wazee .kisha tunawekewa matangazo kwenye redio na tv mimi fulani bin fulani meneja mkubwa sana tuienzi amani ya Tanzania isipotee. Hivi tunamaanisha au tunaigiza? Utabiri mwingine ni rahisi kama hekaya za abunuasi na mkata tawi alolikalia.
Badala ya kusikia hoja za wagombea kwenye huu uchaguzi ,kila uchapo ni matukio ya fujo. Hivi mazao ya hii mbegu yanavunika? Tusimame tuisaidie Tanzania kwa moyo wa dhati, kwani mbegu inakua kwa kasi ya ajabu.
 
chanzo cha haya yote ni slaa amepigwa muhur na mungu kama kain kote atakako kwenda ni vurugu tupu
 
hakuna wakati wa hatari katka nchi kama wakati chama tawala kinapokaribia kufa, watu wamepndikizwa chuki kali za kidini na kisiasa na wakubwa ili tu wabaki madarakani na si ajabu hali ikiwa mbaya zaidi tukashuhudia mazito zaidi, ni wakati wa kuomba Mungu ailinde hii nchi ivuke salama kipindi hiki cha mpito
 
Limeanza kuwa jambo la kawaida kusikia Chadema na CCM wamepigana, damu imemwagika ,wameenda polisi nk. Wengine wanasema hata bila woga chama fulani kinataka watoto wenu wafe, wambieni wasikifuate. Chama fulani ni chama cha kigaidi,Muuaji ni nani?gaidi anayejulikana kwanini asikamatwe? Kwa hii mbegu iliyopandwa tutavuna mazao yake? Kwani angalau hata bangi ulimwa kifichoni,lakini hii inapandwa adharani kwa baraka zote za Wazee .kisha tunawekewa matangazo kwenye redio na tv mimi fulani bin fulani meneja mkubwa sana tuienzi amani ya Tanzania isipotee. Hivi tunamaanisha au tunaigiza? Utabiri mwingine ni rahisi kama hekaya za abunuasi na mkata tawi alolikalia.
Badala ya kusikia hoja za wagombea kwenye huu uchaguzi ,kila uchapo ni matukio ya fujo. Hivi mazao ya hii mbegu yanavunika? Tusimame tuisaidie Tanzania kwa moyo wa dhati, kwani mbegu inakua kwa kasi ya ajabu.

MAFUNZO ya LWAKATARE sasa yanafanyika kwa vitendo.
 
chanzo cha haya yote ni
slaa amepigwa muhur na mungu kama kain kote atakako kwenda ni vurugu
tupu
usilitaje bure jina la Mungu wako unless huyo mungu unayemtaja ni mungu wako wa herufi ndogo yaani mungu baali
 
hakuna wakati wa hatari katka nchi kama wakati chama tawala kinapokaribia kufa, watu wamepndikizwa chuki kali za kidini na kisiasa na wakubwa ili tu wabaki madarakani na si ajabu hali ikiwa mbaya zaidi tukashuhudia mazito zaidi, ni wakati wa kuomba Mungu ailinde hii nchi ivuke salama kipindi hiki cha mpito

Unasahau kauli kama hakuna kulala mpaka kielewke, NCHI haitatawalika n,k ni hatari zaidi
 
unakuwa na chama tawala kinachomiliki jeshi la kuua watu, kumwagia tindikali, kuminya sehemu za siri ili watu wasizae, kung'oa meno na kucha nk unategemeaje amani iwepo?
 
usilitaje bure jina la Mungu wako unless huyo mungu unayemtaja ni mungu wako wa herufi ndogo yaani mungu baali

Hata ukikataa ukweli ndiyo huo, hauwezi kuasi kanisa halafu ukawa na heri maishani mwako.

8Lt1wqjZ8371kAAAAASUVORK5CYII=
 
Unasahau
kauli kama hakuna kulala mpaka kielewke, NCHI haitatawalika n,k ni
hatari zaidi

kwani hakuna kulala ina uhusiano gani na mauaji wanayoyafanya ccm?
hakuna kulala ya chadema ni ya siasa nynyi mna majeshi dhidi ya wananchi
wenu wenyewe alimradi tu ana mawazo tofauti na ccm, chama chenu
kimetapakaa damu za watanzania lazima kiondoke
 
kwani hakuna kulala ina uhusiano gani na mauaji wanayoyafanya ccm?
hakuna kulala ya chadema ni ya siasa nynyi mna majeshi dhidi ya wananchi
wenu wenyewe alimradi tu ana mawazo tofauti na ccm, chama chenu
kimetapakaa damu za watanzania lazima kiondoke

Kama haujui kuwa CHADEMA ni hatari waulize familia za CHACHA WANGWE, REGIA MTEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA temeke na yule mzee wa KIGOMA ambaye SLAA aliamuru REDBRIGADE wamshulikie kisa eti ameongea na simu wakati wa kikao. Ukumbuke kuwa hiki chama kinaongozwa na MMACHAME, kaulize sifa za wamachame. Acheni bwana, tumuombe tu Mungu atuepushe na hiki Chama. Fuatilia maisha ya akina LEMA kabla hawajawa wabunge ni hatari tupu. Tabia ya mtu haitibiwi mkuu bali ugonjwa ndo unatibiwa , hayo maneno alikuwa akiniambia babu yangu, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Hauwezi kubadilisha tabia ya LEMA kwa kuwa eti amekuwa Mbunge, vivyo hivyo MMACHAME(MPALESTINA kama wanavyojulikana) huwezi kumbadlilisha tabia kwa sababu ti ni mwenyekiti wa CHama.
 
unakuwa na chama tawala kinachomiliki jeshi la kuua watu, kumwagia tindikali, kuminya sehemu za siri ili watu wasizae, kung'oa meno na kucha nk unategemeaje amani iwepo?

Kazi ya CHADEMA hiyo au unafikiri kumilki silaha lazima uwe na jeshi? muulize LWAKATARE mambo gani walikuwa wanafundishwa wakati amepelekwa nje kusomea mambo ya UMAFIA ndani ya vyama. Just inbox me I will tell u. Usichezee CHADEMA kabisa ni hatari kuliko maelezo. ukitaka kujua siri ya ushindi wa CHADEMA kule arusha, Tarime na Arumeru nitafute kwa muda wako, utakikimbia chama chako. Wamekamilika kila idara vitisho, mambo ya sumu, ummafia, these guys are no good at all.
 
Huwa nakasirika sana mtu anapozunguka kuongea ukweli, chanzo cha fujo zote hizi ni ccm, hakuna kitu kingine, na wanaoumia siku zote ni wanachama wa Chadema, wameligeuza jeshi la polisi kuwa polisiccm, hata siku moja huwezi kuona wafuasi wa Chadema eti wamempiga mtu kwenye kampeni, tumeshuhudia mara ngapi viongozi wa ccm, wakiwaongoza wanachama wao kwenda kuvamia kwenye makazi ya Chadema, mara ngapi ccm wamekuwa wakienda kuleta fujo kwenye kampeni za Chadema na polisi hawafanyi kitu, yule mzee pale Iringa, aliyeenda na wanae kuvamia mkutano wa Msigwa kwa lengo la kumpiga mapanga, alifanywa nini, si ndio walimpeleka mpaka bungeni kumtambulisha kuwa mgeni, mtu maarufu toka Iringa, yapo mambo mengi huu ni mfano tu, bado tunataka kujua nani mhasisi wa hizi fujo, tuwe wawazi ndugu zangu.
 
ccm imeshakufa imebakiza kutumia dola kusavive!!!! ccm ilishakufa zamani!
 
Back
Top Bottom