D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Aug 17, 2023 #1 Nataka kupanda mahindi kwenye wilaya za Karagwe na Ngara. Naomba kushauriwa mbegu bora inayofaa katika wilaya hizi.
Nataka kupanda mahindi kwenye wilaya za Karagwe na Ngara. Naomba kushauriwa mbegu bora inayofaa katika wilaya hizi.
Nick Furry Senior Member Sep 23, 2016 171 178 Aug 18, 2023 #2 Kwa karagwe Lima Simba SEEDCO, DK 90-89 au DK 777
D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Aug 18, 2023 Thread starter #3 Nick Furry said: Kwa karagwe Lima Simba SEEDCO, DK 90-89 au DK 777 Click to expand... Asante sana. Kati ya hizo ipi bora zaidi.
Nick Furry said: Kwa karagwe Lima Simba SEEDCO, DK 90-89 au DK 777 Click to expand... Asante sana. Kati ya hizo ipi bora zaidi.
Nick Furry Senior Member Sep 23, 2016 171 178 Aug 18, 2023 #4 DK 777...kama mvua zitawahi na kuwa consistent