MBATIA: Utumbuaji majipu, nani atamfunga paka kengele?

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,621
8,411
Leo Mbatia ambae ni waziri kivuli wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano akiwa anasoma hotuba ya kambi ya upinzani bungeni pamoja na mambo mengine ameongelea suala la utumbuaji majipu linalofanyika chini ya awamu ya tano.

Mbatia ameongelea sakata la uuzaji nyumba za serikali lililofanyika kati ya mwaka 2002 na 2004 kwa nyumba zaidi ya elfu saba na kuitaka serikali ya awamu ya tano izirejeshe nyumba hizo mara moja kama azimio lililopitishwa na bunge lilivyotaka kwa kuunga mkono agizo la Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete kurejesha nyumba hizo kwa serikali kwa ambazo ziliuzwa kinyume cha utaratibu ikiwemo kuuziwa kwa wasioukuwa watumishi wa umma na zile ambazo hazikupaswa kuuzwa kama zilizopo kwenye maeneo ya utawala wa serikali.

Mbatia alisema wanajua uuzaji wa nyumba hizo ulisimamiwa na waziri ambae ndie Rais wa sasa hivyo atekeleze ili waone usafi wake katika jamii.

Kuhusu kivuko cha Bagamoyo, Mbatia amesema kivuko hicho ni jipu ambalo limeiva kwa viwango vyote vya sasa na linatakiwa litumbuliwe mara moja. Mbatia amesema ni wazi kivuko hiko kilichonunuliwa na TEMESA chini ya usimamizi wa waziri wa ujenzi wa awamu ya nne ambae ndie Rais wetu wa sasa kwa mujibu wa ripoti mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali alibaini ununuzi wa boti feki na mbovu na kugharibu dola za kimarekani milioni nne nukta tisa. Mbatia alihoji alipo tabibu wa kutumbua jipu hilo.

 
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
 
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
Hahaha Mbona Lugumi amewakwamisha mnatetemeka ovyo...kapiga pesa inayozidi bajeti ya wizara ya Nape! Unalijua hilo?
 
lugumi ipo kenye kamati ya bunge unalijua hilo.
subiri lipoti ya kamati na maazimio ya bunge kila jambo linafanyika kwa utaratibu acheni kufanya siasa bungeni.
 
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
Magufuli maneno mengi, planning zero
 
Nchi hii michosho, yani kadaraja au barabara mpk azindue rais?

Wenzetu pamoja na miradi mikubwa ya ndege za kivita na madaraja kibao lkn husikii eti obama au cameroon kaenda kuzindua ujenzi.

Tatizo washamba wengi wapo ccm
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
Kama. Unajua. Kiingereza The Queen has formally named the largest ever warship built by the Royal Navy by smashing a bottle of Whisky against it in a formal ceremony.
 
magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii

"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"

upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.

lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.

wasubiri 2020.
Kiboko yake Lugumi
 
Back
Top Bottom