Mbatia hatihati Vunjo

hapa vunjo tumepanga kuchagua mbatia -ila kukomalia madiwani wote alichemsha .segerea ni full chadema ila madiwani kulikua na mgawanyo muafaka -amekosea sana hyu mbatia ila CDM tUMPE KURA TU MAANA WALA CDM HAITAYUMBA
 

Hata Mbatia ni pandikizi la Ccm, tumuulize mdee wa Kawe anajua Siri

Mbatia anadai kuwa katika mikutano ya kampeni Mdee alimwita kuwa ni Fataki anayefanya mapenzi na watoto wa shule, kibaraka wa CCM na kila wiki analipwa sh milioni 80 na CCM hivyo kuwataka wapiga kura wa jimbo la Kawe wasimchague Mbatia.
 

Zile zilikuwa ni mbinu tu za kujitafutia kura kwa Mdee na kisiasa hilo hufanyika sana. Hata wakati Mdee anatumia mbinu hizo kwa Mbatia wote walikuwa upinzani tofauti na Mrema anayafanya hayo kwa mwana ccm huku yeye akijidai kuwa upinzani. Hizo sio mbinu zinazokubalika katika siasa bali ni usaliti, unafiki na njaa kali.Ni vile sina uwezo wa kukuwekea hapa jamvini clip inayowaonyesha baadhi ya wanachama wa ukawa wamemzingira Mrema wakimuuliza ni nini lilikuwa lengo lake kufanya vile na anakotaka kuelekea. Walimchachamalia kweli kweli wakimwambia wazi kura zao zote sasa watampa Mbatia na akaondoka kimya kimya katokomea. Itafute kwenye youtube utaiona.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…